spray
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 277
- 241
Habarini wana jamvi,
Kuanzia wiki iliyopita hatulali, yaani ikifika saa 10 asubuhi lazima tuamke tutake tusitake, jirani kaleta kanga wanne, yaani wanapiga kelele 24/7, kelele zilivyoanza nilijua labda ni aina flani ya bata maana kelele ni kali sana, kumbe ni kanga wale wa madoadoa, kiukweli mi napenda ufugaji lakini kwa hali hii inauzi, ukishinda nyumbani ndio utakoma, kelele mtindo mmoja kuanzia asubuhi hadi jioni.
Nimefikiria siku moja nimpe mbinu labda wasipige kelele kama nitaipata hiyo mbinu itatusaidia, maana kiukweli tunateseka mno na kelele za hawa kanga
Kuanzia wiki iliyopita hatulali, yaani ikifika saa 10 asubuhi lazima tuamke tutake tusitake, jirani kaleta kanga wanne, yaani wanapiga kelele 24/7, kelele zilivyoanza nilijua labda ni aina flani ya bata maana kelele ni kali sana, kumbe ni kanga wale wa madoadoa, kiukweli mi napenda ufugaji lakini kwa hali hii inauzi, ukishinda nyumbani ndio utakoma, kelele mtindo mmoja kuanzia asubuhi hadi jioni.
Nimefikiria siku moja nimpe mbinu labda wasipige kelele kama nitaipata hiyo mbinu itatusaidia, maana kiukweli tunateseka mno na kelele za hawa kanga