Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Jamani wana JF labda mimi ni mshamba sana. Nimekuwa nasona, nasikia na kuona matangazo ya Khanga moja! Ni kitu cha namna gani? Natamani sana kumwomba mume wangu anipoeleke maana nasikia wako based pale continental lakini nahisi balaa! mwanamke mwenye khanga moja iliyoloa ndembe ndembe, mume wangu nitarudi naye kweli?
Kingine, watanzania tumekuwa na tabia ya kulinda maadili.... swala la khanga moja linanitisha... naomba mnijuze.
Kingine, watanzania tumekuwa na tabia ya kulinda maadili.... swala la khanga moja linanitisha... naomba mnijuze.