Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Ukibahatika kwenda Qatari utawaonea huruma wahindi.Ila daah tuache masihara, nawaza hizo njemba zilivyochoka ila ndio zikija kwetu zinatuendesha mputaputa.
Ukibahatika kwenda Qatari utawaonea huruma wahindi.Ila daah tuache masihara, nawaza hizo njemba zilivyochoka ila ndio zikija kwetu zinatuendesha mputaputa.
Sasa kilichookoa maisha ya hao watu ni huyo mama au kanga??°Kwanza ilikuwa na rangi nyekundu kumaanisha warning au hatari.
° ilitandazwa km 20 kutoka eneo ambalo reli ilikuwa mbovu so bila hivo treni ingeenda bila kujua hatari iliyopo mbele so ajali ingekuwa kubwa na kupoteza uhai mkubwa wa watu.
Nb huyo mama ni shujaa
kwani Tanzania yote ni kama dar es salaam, use your brain effectivelyHawa jamaa kwenye movie zao wanatuoneshaga mazingira mazuri sana
kwani Tanzania yote ni kama dar es salaam, use your brain effectively
sina cha ziada hapo mkuu.Tofauti yake Nini?