Bob Lee Swagger
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 1,362
- 515
Mkuu,nakubaliana na wewe. Watanzania wengi ni vilaza sana. Ila hawakubali ukweli,wako radhi wasifiwe kwa unafiki kuliko kuambiwa ukweli!
Mchambuz wa mahiri wa masuala ya kisiasa na kiuchumi Mzee Jenerali Ulimwengu amesema kuwa kila baada ya miaka mitano watanzania hupewa pilao, kofia, tisheti na kanga hivyo kuendelea kuchagua viongozi wa hovyo hovyo waliolifikisha taifa hapa lilipo
SOURCE: ITV HABARI USIKU HUU
ccm ilisema J ulimwengu sio mtanzania na kuwaona watanzania feki kama rostam wakipeta. Nch shamba la bibi hii.
waseme mara ngapiHawachelewi kusema sio raia wa tanzania
Kwamba watanzania wengi vilaza!.......
kula ccm kura chadema ndio mpango mzimani kuwafundisha watanzania, kula hizo hela halafu kuwatosa, sisi bodaboda tuazila sana lakini kura hatuwapi ng'oooo.