Mchambuz wa mahiri wa masuala ya kisiasa na kiuchumi Mzee Jenerali Ulimwengu amesema kuwa kila baada ya miaka mitano watanzania hupewa pilao, kofia, tisheti na kanga hivyo kuendelea kuchagua viongozi wa hovyo hovyo waliolifikisha taifa hapa lilipo
SOURCE: ITV HABARI USIKU HUU
SOURCE: ITV HABARI USIKU HUU