Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,630
- 697,597
Hakuna pesa inayotosha ndio maana maisha yetu ni ya kutafuta pesa mpaka tunakufa.
Leo ni siku ya 53 tangu hayati mwendazake atwaliwe kutoka maisha haya... Wafaidikaji wa utawala wake wakajipa kandarasi ya kulinda 'mazuri' yake huku wakipambana mitandaoni na kila aliyejaribu kukosoa utawala wa hayati mwendazake. Hii si kandarasi ndogo hata kidogo.
Kuweza kuiendesha kwa mafanikio mpaka ufikie lengo kunahitaji oganaizesheni kubwa ya pamoja, rasilimali watu, na vyanzo vya uhakika vya mapato.
Vikundi tarajiwa kwa maana ya rasilimali watu vilivyotegemewa kuifanya hii kandarasi ni LMB7, MATAGA na kikundi kidogo cha SKM GANG! Lakini kwa bahati mbaya kabisa watatu hawa wakakosa ushirikiano na kuanza kuhitilafiana na kutuhumiana wao kwa wao
Ili uweze kuendesha kampeni ya mafanikio .. Ukiachana na mpango kazi wa mradi wako ... Pesa za kuwezesha na watu wa kufanya kazi ni muhimu sana.
Na hizo pesa lazima zipatikane toka chanzo cha uhakika na endelevu
Mwanzoni baada tu ya kifo mradi ulienda vizuri sana, wafanya kampeni za kulinda legacy walilipwa bila kigugumizi na walipaji walitoa bila kusita....lakini kadiri muda ulivyosogea ukweli mchungu na wa kuogofya sana ulianza kujifunua. Kwamba malipo yanayotoka hayana monitoring ya kueleweka
Kwamba kila sent itokayo hakuna replacement yake tena kwakuwa mfadhili mkuu hayupo tena.
Kwamba malipo yanatofautiana kwa watu wanaofanya kazi moja..kuna wanaopata zaidi na kuna wanaopata kiduchu. Kwamba uhitaji wa cash ni mkubwa sana kuliko matarajio na hakuna vyanzo vya mapato.
Chini ya siku 100 tayari wanapumulia mashine. Kilichobaki sasa hakuna umoja wala kandarasi ya kulinda legacy tena.. Kila mtu na lwake! Wanachoangalia sasa ni maslahi binafsi.. Kuliko kushupaa kulinda legacy ya mfu Yenye gharama kubwa ni heri kulinda chochote alichovuna toka utawala wa hayati mwendazake.
Ni wazi kuna baadhi yao ni wafaidikaji wakubwa wa miradi binafsi ya marehemu waliopewa kuisimamia, ambayo kimsingi ni ya familia ya mwendazake! Si ajabu kati yao kuna walio busy kutaka kuitaifisha na kuigeuza ya kwao.. Na hapa ndio wanachimbana na kutofautiana.
Joto la kulinda legacy linapoa kwa kasi ya aina yake na ikigonga siku ya 100 litakuwa tayari baridi kabisa... Tena ile YABISI... Halafu tutaenda kuizika legacy kwenye makaburi ya sahau.
Leo ni siku ya 53 tangu hayati mwendazake atwaliwe kutoka maisha haya... Wafaidikaji wa utawala wake wakajipa kandarasi ya kulinda 'mazuri' yake huku wakipambana mitandaoni na kila aliyejaribu kukosoa utawala wa hayati mwendazake. Hii si kandarasi ndogo hata kidogo.
Kuweza kuiendesha kwa mafanikio mpaka ufikie lengo kunahitaji oganaizesheni kubwa ya pamoja, rasilimali watu, na vyanzo vya uhakika vya mapato.
Vikundi tarajiwa kwa maana ya rasilimali watu vilivyotegemewa kuifanya hii kandarasi ni LMB7, MATAGA na kikundi kidogo cha SKM GANG! Lakini kwa bahati mbaya kabisa watatu hawa wakakosa ushirikiano na kuanza kuhitilafiana na kutuhumiana wao kwa wao
Ili uweze kuendesha kampeni ya mafanikio .. Ukiachana na mpango kazi wa mradi wako ... Pesa za kuwezesha na watu wa kufanya kazi ni muhimu sana.
Na hizo pesa lazima zipatikane toka chanzo cha uhakika na endelevu
Mwanzoni baada tu ya kifo mradi ulienda vizuri sana, wafanya kampeni za kulinda legacy walilipwa bila kigugumizi na walipaji walitoa bila kusita....lakini kadiri muda ulivyosogea ukweli mchungu na wa kuogofya sana ulianza kujifunua. Kwamba malipo yanayotoka hayana monitoring ya kueleweka
Kwamba kila sent itokayo hakuna replacement yake tena kwakuwa mfadhili mkuu hayupo tena.
Kwamba malipo yanatofautiana kwa watu wanaofanya kazi moja..kuna wanaopata zaidi na kuna wanaopata kiduchu. Kwamba uhitaji wa cash ni mkubwa sana kuliko matarajio na hakuna vyanzo vya mapato.
Chini ya siku 100 tayari wanapumulia mashine. Kilichobaki sasa hakuna umoja wala kandarasi ya kulinda legacy tena.. Kila mtu na lwake! Wanachoangalia sasa ni maslahi binafsi.. Kuliko kushupaa kulinda legacy ya mfu Yenye gharama kubwa ni heri kulinda chochote alichovuna toka utawala wa hayati mwendazake.
Ni wazi kuna baadhi yao ni wafaidikaji wakubwa wa miradi binafsi ya marehemu waliopewa kuisimamia, ambayo kimsingi ni ya familia ya mwendazake! Si ajabu kati yao kuna walio busy kutaka kuitaifisha na kuigeuza ya kwao.. Na hapa ndio wanachimbana na kutofautiana.
Joto la kulinda legacy linapoa kwa kasi ya aina yake na ikigonga siku ya 100 litakuwa tayari baridi kabisa... Tena ile YABISI... Halafu tutaenda kuizika legacy kwenye makaburi ya sahau.