MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
- Thread starter
- #21
Tena usiongee hadharani. Huko Bongo watu wanachuki zao mioyoni,usione wako Kimya na manyanyaso yao,siku wakisema Basi hiyo AMANI na Utulivu utaisikia kwenye Bomba. Ndio maana wakiulizwa kwenye utafiti wanasema hawana Furaha(Kwa maana wana wachungu na Visasi lakini wanakosa pa kuvipeleka). One day utakuja kunielewa kwanini Bongo iko Nyuma ya Somalia na Libya kwa Furaha licha ya kuwa na AMANI ta Utulivu.Sasa Kama mpaka Somalia kwenye vita na ugaidi wana FURAHA isiwe kwetu kusiko na hayo?!!!
Hizo DATA ziko biased.....
Yaani nchi iliyojaa mabishano ya SIMBA NA YANGA isiwe na furaha ?!!mmmh