Kanda ya Ziwa na PhD Feki

Status
Not open for further replies.

mmakonde

JF-Expert Member
Dec 26, 2009
965
66
Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki

Kulikoni jamani?
 
Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki

Kulikoni jamani?
Emmanuel Nchimbi, naye fake,
Mary Nagu
Mkullo
Je, hawa wote wanatoka kanda ya Ziwa?
Give us a break!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Jasusi ,u kiangalia Nagu ,Nchimbi au Mkulo hawatoki Kanda moja au kabila moja,angalia
idadi ya hawa wasukuma wenye Phd feki,ulinganishe na watu wote wenye hizi Phd tanzania,utakuta wanaongoza
 
Jasusi ,u kiangalia Nagu ,Nchimbi au Mkulo hawatoki Kanda moja au kabila moja,angalia
idadi ya hawa wasukuma wenye Phd feki,ulinganishe na watu wote wenye hizi Phd tanzania,utakuta wanaongoza
Ninakusikia ndugu yangu. Lakini hawa Wasukuma naoni ni uvivu tu mbona shuleni wengi tu walikuwa na akili?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Emmanuel Nchimbi, naye fake,
Mary Nagu
Mkullo
Je, hawa wote wanatoka kanda ya Ziwa?
Give us a break!

Mzee wangu Jasusi naona umeweka kigingi kigumu; hata hivyo kila nikiangalia tena statistics, naona kama ni kweli kuwa kanda ya Ziwa iongoza kwa hizo Ph.D feki. Kumbuka kuwa mtoa mada hakuunganisha wengine kama Profesa Waryoba wa mzumbe na Dr. Deodatus Kamala.

Mimi ninadhani kuwa tatizo hilo la Ph.D feki lilianzishwa na huyo Profesa Waryoba hapo Mzumbe kwa vile ndiye aliyekuwa Mkuu wa Chuo. Baada ya hapo ndipo feki hizo zikasambaaa na kuingia umoja wa vijana kwa kupitia akina Nchimbi na Kamala. Huko Umoja wa Vijana zikawaambukiza akina Masabauri na Nangale. Masabauri yeye akamwambukiza kaka yake Mahanga, wakati Nangale naye akamwambukiza ndugu yake huyu Dialo. Kwa mtindo huo wa kuambukizana, inawezekana idadi ikazidi kuongezeka kwa kasi zaidi katika hiyo kanda ya Ziwa.
 
Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki

Kulikoni jamani?

Common denominator wote wametoka st. joseph university au ni wakristo wapende vya kunyonga na kupendelewa
 
Bongo mbona feki nyingi tu na haijalishi ni msukuma au la,mie naona ni ushamba tuuuuuuu mbona mwenzao Magufuri kakamua na kamaliza
 
Tumaini ,tunazumgumzia Phd feki na sio ukristu !Kama wewe unajioa mwislamu safi,fair enough,
nakuomba tu usije ukaua watu kwa mabomu,eti kwa kuwa ni wakristu.
Changia kuhusu feki Phd,sio udini wako wa ki taliban
 
Common denominator wote wametoka st. joseph university au ni wakristo wapende vya kunyonga na kupendelewa

Yaani kama uwezo wako wa kufikiria wote ndio umekufikisha hapo basi umaskini bongo haututoki. What a poor mindset!!
 
Hawa wote si wasukuma, labda kama kutoka kanda ya ziwa inatosha kukufanya uwe msukuma regardles ni kule kwa wauaji au nshomire.
 
Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki

Kulikoni jamani?

Hakuna uhusiano wowote wa mtu kuwa Msukuma na kuwa na PhD feki. Sielewi hoja unayotaka kuijenga hapa. Angalia pia wote ni wakristo, unasemaje juu ya hilo? Kwanini hukuandika wakristo na PhD feki? Hilo ni tatizo la mtu bianafsi maana hawakutumwa na kabila. Jenga hoja yenye mantiki
 
Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki

Kulikoni jamani?


Ongezea hapa jamaa wa Maswa, aliyopewa na kina Mukandara...teh ..teh...teh!
 
Ndio maana nilisema Kanda ya Ziwa!

Ongeza akina "Dr" Kamala na mkuu wa mafeki wa Mzumbe at that time:Warioba
 
Mzee wangu Jasusi naona umeweka kigingi kigumu; hata hivyo kila nikiangalia tena statistics, naona kama ni kweli kuwa kanda ya Ziwa iongoza kwa hizo Ph.D feki. Kumbuka kuwa mtoa mada hakuunganisha wengine kama Profesa Waryoba wa mzumbe na Dr. Deodatus Kamala.

Mimi ninadhani kuwa tatizo hilo la Ph.D feki lilianzishwa na huyo Profesa Waryoba hapo Mzumbe kwa vile ndiye aliyekuwa Mkuu wa Chuo. Baada ya hapo ndipo feki hizo zikasambaaa na kuingia umoja wa vijana kwa kupitia akina Nchimbi na Kamala. Huko Umoja wa Vijana zikawaambukiza akina Masabauri na Nangale. Masabauri yeye akamwambukiza kaka yake Mahanga, wakati Nangale naye akamwambukiza ndugu yake huyu Dialo. Kwa mtindo huo wa kuambukizana, inawezekana idadi ikazidi kuongezeka kwa kasi zaidi katika hiyo kanda ya Ziwa.

Huu ugonjwa wa Ph.d feki unaambukiza sana sio hao tu, Norman Sigalla DC wa Siha aliambukizwa huko huko umoja wa vijana na rafiki yake Nchimbi na sasa Sigara inaelekea atamuambukiza Pindi Chana kwani nae yuko mbioni kutaka kuitwa DR. Mambo ndio hayo umoja wa vijana ccm; na ndio maana mafisadi wanawatumia kwa urahisi kufanikisha mambo yao kwani vijana hawa wanapenda njia za mkato!!!
 
Inaonekana mikoa hii inaongoza na wau wenye Phd feki!Hasa kabila la Kisukuma pamoja na uhonest wao,limetoa member wengi wenye Phd feki.What a shame,
kuharibia sifa ya kabila hili?.
1.Milton Mahanga Makongoro-Phd feki
2.Anton Diallo -Phd feki
3.George Nangale -Phd feki
4.Raphael Chegeni -Phd feki
5.John Didas Masaburi -Phd feki

Kulikoni jamani?

Hivi wewe unaijua kanda ya ziwa au unaota mchana mchana????? Kwa taarifa yako kanda ya ziwa ndiyo inaongoza kwa Phd halali na kwa usomi.

Halafu wewe na standard 7 yako unajua hata maana ya Phd?

Acha kuandika vitu usivyovielewa wewe...ebo!!!!
 
Akashube,kanda ya Ziwa inaweza kuwa na Phd nyingi halali ,at the same time kuwa na Phd feki .Sioni hoja yako.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom