Kanda ya Kaskazini inazidi kupotea kwenye ulingo wa kisiasa katika nafasi nyeti

goroko77

JF-Expert Member
Jul 9, 2019
8,852
12,981
Wakuu swalamaa,

Nashindwa kuelewa kwann sas HV hatuna nguvu za kisiasa Kama zamani Hali imepelekea siasa na viongozi mashuhuri kushika nafas nyeti na muhimu katika taifa hili kutokea Kanda ya Kati na nyanda za juu kusini mfn naibu spika had uspika ...tofauti na zamani serekali zilizopita ukitoa ya awamu ya tano ambapo tusipo toa waziri mkuu bas tutatoa mawaziri wa wizara nyeti Kama za fedha na mipango ..mifano ipo mingi tu wa mawaziri waliopita sitaki kuwataja

Sababu Ni nn Ni kwamba hatuwapeleki vingozi wenye elimu pana na nzur katak bunge letu sasa mfano Mrisho gambo Ana exposure gani ya kuwa wazir au mmbuge wa arumeru mashariki cjui kapata wapi elimu yake yaan lile Jimbo lake zamani lilishikiliwa na waziri wa fedha Jeremiah sumari (r.i.p) ukija Jimbo la arumeru magharibi ndio kabisa Hakuna kitu pale cjui kasoma chuo gani Yule mnk hata kuchangia hoja cjawai msikiaa . Ole sendeka ndio hvyo Tena yeye simlaumu Ni fomu six leaver na alikuwa machachari ...

Sasa usiseme Moshi cjui mmbuge wake wa mjin anaitwa Nani hmm kitu. Dr kimei amekimbilia ubunge tukijuwa kuwa atapata uwazir hata wa uwekezaji hmn kitu kaenda bungeni kuwasema wachaga kuwa Ni wezi .Dr molel yey Ni mamluki fln sijui hata kapewaje unaibu wa afya

Kwa kweli sas HV hatuna wasomi ktk siasa za kasikazin Wal wanasiasa wenye mvuto kweny nchi hi wanaotokea kazikazni ambao wanaaminika na rais waJMT

Tumepitwa Sana haki mmbuge unatakiwa uwe na elimu pana ili rais JMT akuamini Kama alivyo muamini professor mkenda kwenda elimu

Tumepitwa Hadi na mkoa wa Pwani.
 
Kaskazini wakabila sana,
Nchi hi Bila kuwaweka watu wa kazikazini tuatatezeka Sana natoa Rai kwa wapiga kura na wajumbe wamteuwe mtu mwenye elimu kubwa na exposure kubwa ili iwe rais kupewa majukumu katka serekali CYO unampeleka mtu Kama NOha lembriss kuwa mmbunge na kupelekea Jimbo kukkosa uteuz hata wa unaibu
 
Kwa taarifa Yako, mawaziri hawachaguliwi kuendana na kisomo na uwezo, Bali mapenzi ya anayechagua na kuteua
Toka uko kwahyo apelekwe mtu wa darasa la Saba au cjui kasoma chuo gani huko awe waziri hpn mkuu lazm uwe na elimu pana na ueledi ili kusimamia kazi vzr
 
Rais anatokea Znz

Makamu wa Rais anatokea Magharibi mwa nchi

Waziri Mkuu anatokea mikoa ya kusini

Spika wa Bunge atatokea Nya da za juu kusini

Mkuu wa Majeshi anatokea Kanda ya Ziwa

Kiongozi wa Chama kikuu cha Upinzani anatokea Kaskazini

Mikoa ya Kati na Pwani tumetengwa kwny nafasi za Juu za uongozi na hatulalamiki kwa kuwa tunajua haiwezekan kila sehemu itoe kiongozi wa Juu…cha msingi ni uadilifu wa walioteuliwa
 
Ushasikia msemo unaosema kutangulia si kufika! Mambo yanabadilika sana hii sio miaka ya tisini!
Hapna nakukatah watu wa kzkzn niwatu wana uweledi mkubwa tu hawapazwi kupuzwa na kuachwa katk teuzi nyeti ili wasaidie taifa achilia mbali kina sabaya
 
Rais anatokea Znz

Makamu wa Rais anatokea Magharibi mwa nchi

Waziri Mkuu anatokea mikoa ya kusini

Spika wa Bunge atatokea Nya da za juu kusini

Mkuu wa Majeshi anatokea Kanda ya Ziwa

Kiongozi wa Chama kikuu cha Upinzani anatokea Kaskazini

Mikoa ya Kati na Pwani tumetengwa kwny nafasi za Juu za uongozi na hatulalamiki kwa kuwa tunajua haiwezekan kila sehemu itoe kiongozi wa Juu…cha msingi ni uadilifu wa walioteuliwa
Sas kwani vipind vya nyuma mfano JKN(r.i.p)

Waziri mkuu moringe

Kwa kipindi kingine akaingia mZee msuya Kama waziri mkuu Mara mbili HV

Kipindi Cha BWM (r.ip
Waziri mkuu sumaye

Kipindi pia cha mkwere
Lowasa fitina zikafanyika tukampoteza waziri mkuu kutoka katika kundi la kina samweli sitaa na kina mwakiembe tatizo uwaziri mkuu namnukuhu lowasa " tatizo Ni uwaziri mkuu"

Tazama ilivyo kuwa watu wana aminika katka kunda serekali sas HV shida iko wapi mbna Marais wote walio tanguliaa waliwaamini wanasiasa kutoka kaskazini ???
 
Back
Top Bottom