MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,756
- 48,401
Dah! Wenzetu wa dini ile mnalo, hampumuzishwi raundi hii, kule mlijitia kumshabikia Putin, amewaaibisha, huku kwa Iran ambaye angekua kimbilio lenu ndio naye anapokea aibu zaidi.... Bwana Utam
Hujui Mike Tyson alifilisiwa mali zake baada tu ya kusilimu toka ukristo?
UONGO mtupu..Almongstrong akaenda mwezini akasiki Adhana Allah wakbar Allah wakbar na Muhammad ndiye Mtume pekee wa mwisho.
Almongstrong akajiuliza:, Eeh, dini si ndiyo hii sasa!!. 😁😁
Alivyorudi akaslimu, CIA wakataka kumuua.
Wakristo hawataki watu waujue ukweli kuhusu dini ya Allah.
hizi story za vijiweni huwa zinawasaidia nini?Almongstrong akaenda mwezini akasiki Adhana Allah wakbar Allah wakbar na Muhammad ndiye Mtume pekee wa mwisho.
Almongstrong akajiuliza:, Eeh, dini si ndiyo hii sasa!!.
Alivyorudi akaslimu, CIA wakataka kumuua.
Wakristo hawataki watu waujue ukweli kuhusu dini ya Allah.
Wao ndio wanajua mafanikio ya wanachokifanyaSasa tangu waanze kuuwa wanasayansi na viongozi wa Iran ni kipi kilicho badirika ndani ya Iran?
😂😂hizi story za vijiweni huwa zinawasaidia nini?
UONGO mtupu..
Ni propaganda ya makusudi ya dini hiyo🙄
Did Neil Armstrong have a religious experience on the moon?
Beliefnet Voices - Rob Kerbygoogleweblight.com
Hizi story ikiwa haukuwaikuzisikia frequently basi ujaishi uswahilini.UONGO mtupu..
Ni propaganda ya makusudi ya dini hiyo🙄
Did Neil Armstrong have a religious experience on the moon?
Beliefnet Voices - Rob Kerbygoogleweblight.com
Acha kwanza tumnyooshe KOMEDIANDah! Wenzetu wa dini ile mnalo, hampumuzishwi raundi hii, kule mlijitia kumshabikia Putin, amewaaibisha, huku kwa Iran ambaye angekua kimbilio lenu ndio naye anapokea aibu zaidi.... Bwana Utam
mkuu upo nnje ya madaHaizidi habari ya Justin beiber na mpenzi wake kuslimu na ametengaza kujenga msikiti mkubwa Mississippi.
CIA na kanisa catholic watamua kama walivyomua Michael Jackson baada ya kutengaza kuslimu.
🙁🙁
Sure, ila niliemkot alitaka kusikia habari zenye taswila kama hiyo.mkuu upo nnje ya mada
Kama walifanya hivyo walikosea,huyo mke na watoto walistahili kushuhudia hayo?Unadhani hao watoto wakikua wataacha kulipa kisasi?Ndio maana tunaona vijana wadogo kabisa 18,19,20 yrs wanajitoa muhanga,wanaenda Israel na kuchoma watu visu randomly!Mossad in action! Hawa jamaa ni balaa! waliwahi kuingia Tunisia na kumchinja Abuu Jihad risasi mia nane mwilini halafu mke wake na watoto watatu walilazimishwa kuangalia jinsi mwili wa baba yao ukikatika vipande vipande mpaka maiti iliishia kujaa katika kibiliti tuu!
Unaongea utadhani huu uhasama umeanzia pale alipouwawa.Huu ugomvi upo tangu Taifa la Israel lianzishwe,so hakuna jipya,wakienda kuwachoma visu randomly,wanavurumishiwa makombora wanakufa wengi,hapo mwenye hasara ni nani?Kama walifanya hivyo walikosea,huyo mke na watoto walistahili kushuhudia hayo?Unadhani hao watoto wakikua wataacha kulipa kisasi?Ndio maana tunaona vijana wadogo kabisa 18,19,20 yrs wanajitoa muhanga,wanaenda Israel na kuchoma watu visu randomly!
Yaani hapo Mossad wanaweza kujiona wamefanya la maana ila wametengeneza chuki ambayo italipwa na damu ya waisrael!
Wote Wana hasara,ni kama wewe unavyosema Russia kapata hasara japo hasara ya Ukraine ni multiple times higher!Unaongea utadhani huu uhasama umeanzia pale alipouwawa.Huu ugomvi upo tangu Taifa la Israel lianzishwe,so hakuna jipya,wakienda kuwachoma visu randomly,wanavurumishiwa makombora wanakufa wengi,hapo mwenye hasara ni nani?
Russia ina hasara mara mbili zaidi kwakuwa mwisho wa siku pesa yake itatumika kuijenga upya Ukraine wakati huo huo yeye akiwa anaogelea kwenye dimbwi la vikwazo vya ki uchumiWote Wana hasara,ni kama wewe unavyosema Russia kapata hasara japo hasara ya Ukraine ni multiple times higher!
Sio mbaya maana wakati huo Russia itakuwa inajenga territory yake!Russia ina hasara mara mbili zaidi kwakuwa mwisho wa siku pesa yake itatumika kuijenga upya Ukraine wakati huo huo yeye akiwa anaogelea kwenye dimbwi la vikwazo vya ki uchumi
Territory ya wapi tena wakati atakuwa yuko kwake huko anaomboleza baada ya kushindwa vitaSio mbaya maana wakati huo Russia itakuwa inajenga territory yake!