Kanali mstahafu wa jeshi anapoumwa jeshi laweza kusaidia matibabu?

Kama ni mstaafu kwisha habari yake serikali ya CCM baada ya kuwatumia wanajeshi wake na wanapostaafu huwa kama TOILET-PAPER huwatupilia mbali na kuwasahau kabisa maana hawana faida,mfano wastaafu wote tuliopigana vita vya KAGERA serikali haina na wala haijui kama sisi tulipigana vita kwa ajili ya kulinda nchi yetu.
Wengi wa wastaafu wa jeshi wanjifia majumbani mwao bila msaada wa serikali,Angalia hata Afande MAYUNGA serikali ilimwacha tu mpaka hali yake ilipokuwa mbaya sana ndipo eti ikakurupuka kumpeleka INDIA wakati ilijua kuwa huyu Kwisha kazi.Hata kama watampeleka Lugalo jeshi halina mpango naye tena hapa tatizo ni sera mbaya za nchi yetu hasa kuhusu wastaafu.
 
Kwa uelewa wangu ni kuwa katika TZ hakuna institution ambayo inajali wadau [wanajeshi wakiwa kazini na hata kustaafu] kama JWTZ.
cha kufanya ni kuwa nenda kwenye kambi yeyote iliyokaribu nawe muone CO mwaleze matatizo na kama una service namba na taarifa nyingine mpatie and you will be surprised kwa kushtukia landrover iko mlangoni kumchukua 'mtu wao'
Pole sana bro
 
Kwa uelewa wangu ni kuwa katika TZ hakuna institution ambayo inajali wadau [wanajeshi wakiwa kazini na hata kustaafu] kama JWTZ.
cha kufanya ni kuwa nenda kwenye kambi yeyote iliyokaribu nawe muone CO mwaleze matatizo na kama una service namba na taarifa nyingine mpatie and you will be surprised kwa kushtukia landrover iko mlangoni kumchukua 'mtu wao'
Pole sana bro
Kweli mkuu, mimi nimepata experience hiyo kwa vile Baba yangu alikuwa Kanali mstaafu.
Baba yangu aliugua na hatimaye kufariki, JWTZ walishughulika sana kwa hatua zote mpaka mazishi.
Nimelipenda na kuliheshimu sana JWTZ kwa kujali sana wastaafu wao.

JWTZ ni sehemu moja hawawasahau wastaafu wao kwa lolote lile, na mimi vile vile sitawasahau kwa uadilifu wao.
 
Mkuu masopakyindi inategemea Baba yako alikuwa na ushawishi gani,pengine kuna wakubwa wa JWTZ walikuwa wakimjua.Naishi na jirani yangu Lt Col mstaafu hali yake inatisha sitamani mwanangu au mtu yoyote ninayemfahamu ajiunge na JWTZ au jeshi la polisi maisha baada ya kustaafu ni magumu sana kwa askari wengi.

Kweli mkuu, mimi nimepata experience hiyo kwa vile Baba yangu alikuwa Kanali mstaafu.
Baba yangu aliugua na hatimaye kufariki, JWTZ walishughulika sana kwa hatua zote mpaka mazishi.
Nimelipenda na kuliheshimu sana JWTZ kwa kujali sana wastaafu wao.

JWTZ ni sehemu moja hawawasahau wastaafu wao kwa lolote lile, na mimi vile vile sitawasahau kwa uadilifu wao.
 
Last edited by a moderator:
siku hizi hata kutibiwa kwa wastaafu wa majeshi yetu inategemea na kamtandao gani ulikua nako pindi ulipokuwa kazini...
kama ulikuwa kazini kwa manufaa ya umma bila kuangalia next side imekula kwako
mifano iko mingi sana mitaani jinsi hawa wastaafu wanavyochapika na hali ngumu ya kimatibabu
 
Naomba uwajaribu JWTZ halafu uone.
Kama una ndugu ambaye ni mjeshi mstaafu [whatever the cheo] nenda katoe taarifa kwenye kambi yoyote ile iliyokaribu na mjeshi mgonjwa wape particulars za mgonjwa halafu uje kwenye baraza hili utusute.
Acheni kuzungumza mambo kijumla jumla tuu
 
Kama ni mstaafu kwisha habari yake serikali ya CCM baada ya kuwatumia wanajeshi wake na wanapostaafu huwa kama TOILET-PAPER huwatupilia mbali na kuwasahau kabisa maana hawana faida,mfano wastaafu wote tuliopigana vita vya KAGERA serikali haina na wala haijui kama sisi tulipigana vita kwa ajili ya kulinda nchi yetu.
Wengi wa wastaafu wa jeshi wanjifia majumbani mwao bila msaada wa serikali,Angalia hata Afande MAYUNGA serikali ilimwacha tu mpaka hali yake ilipokuwa mbaya sana ndipo eti ikakurupuka kumpeleka INDIA wakati ilijua kuwa huyu Kwisha kazi.Hata kama watampeleka Lugalo jeshi halina mpango naye tena hapa tatizo ni sera mbaya za nchi yetu hasa kuhusu wastaafu.
Humu ndani kuna wanajamvi ambao kwao kila issue ni negativeism na wanapenda kuambikiza wenzao.
jamani tujifunze kuita spade a spade lakini tukiona ni spoon tuseme
 
Mkuu masopakyindi inategemea Baba yako alikuwa na ushawishi gani,pengine kuna wakubwa wa JWTZ walikuwa wakimjua.Naishi na jirani yangu Lt Col mstaafu hali yake inatisha sitamani mwanangu au mtu yoyote ninayemfahamu ajiunge na JWTZ au jeshi la polisi maisha baada ya kustaafu ni magumu sana kwa askari wengi.

I beg to differ with you. Sema hao wazee walichanga vibaya karata zao, labda walikalia kunywa bia za motisha. Leo nenda ukaone jeshini vifaa vya ujenzi ni bei nafuu (free tax),bidhaa ni nyingi kwa bei za kutupwa hata sisi raia siku hizi tunaponea huko. Usije ukamkatalia mwanao au ndugu yako kwa ku-cite mifano isiyolingana na hali halisi
 
Last edited by a moderator:
I beg to differ with you. Sema hao wazee walichanga vibaya karata zao, labda walikalia kunywa bia za motisha. Leo nenda ukaone jeshini vifaa vya ujenzi ni bei nafuu (free tax),bidhaa ni nyingi kwa bei za kutupwa hata sisi raia siku hizi tunaponea huko. Usije ukamkatalia mwanao au ndugu yako kwa ku-cite mifano isiyolingana na hali halisi

maelezo yako ni tofauti na madai ya ngongo. kuchanga karata vibaya isiwe sababu ya wastaafu kupuuzwa. ndo maaana tuna mifuko ya hifadhi za jamii , moja ya wajibu wa hiyo mifuko ni kuhakikisha wastaafu wanalindwa kwa wakati wa uzee wao. kuchanga karata unakosema siyo njia sahihi ya kutatua tatizo hili, aidha isitumiwe kama sababu ya majeshi kushindwa kuandaa schemes ya kufaa ya maisha uzeeni kwa wafanya kazi wake.

nakushauri usitafute njia fupi kutatua tatizo la kudumu, kuchanga karata hakuta maliza tatizo kwakuwa ukumbuke wakati unaumwa waweza hata kukosa wa kuhakikisha pesa hiyo yako mwenyewe inakutibu. wapo wanakufa na pesa zao bank. uzee ni kama utoto , mzee akiumwa anaihtaji mwongozo wa wapi kupata tiba na hatimaye kutibiwa.ktk hali ya uzee na kuumwa, pesa ina mipaka yake, hata ukiwa na pesa, pasipo namna ya kusaidiwa kufikishwa kwenye huduma na hata kumanage hiyo pesa ni sawa na kuwa masikini tu
 
Jamani hizo lawama mnazotoa si kweli fahamu kuwa wapo mnaowaita WASTAAFU lkn waliacha au kijiuzulu utumishi wajeshi kwa makosa ya kinidhamu! wako wengi hata wenyewe hawapendi kujulikana kuwa walikuwa huku!! Kwa huyu anaeugua tafadhali toa maelezo hata kwa mshauri wa mgambo wilayani utaona vijana watakuja mchua haraka, Jeshi haliwaachi waliokuwa ktk utumishi maana waliopo pia watu
 
Jamani hizo lawama mnazotoa si kweli fahamu kuwa wapo mnaowaita WASTAAFU lkn waliacha au kijiuzulu utumishi wajeshi kwa makosa ya kinidhamu! wako wengi hata wenyewe hawapendi kujulikana kuwa walikuwa huku!! Kwa huyu anaeugua tafadhali toa maelezo hata kwa mshauri wa mgambo wilayani utaona vijana watakuja mchua haraka, Jeshi haliwaachi waliokuwa ktk utumishi maana waliopo pia watu

Mimi ni askari mstaafu mpaka sasa hivi ninapoandika hakuna chochote ambacho jeshi linaweza kusaidia mtu aliyestaafu labda usaidiwe na wanjeshi wanaokujua na uliofanya kazi nao wao wachange pesa yao mfukoni wakusaidie.
Hapa kinachogomba serikari haina sera ya kusaidia wastaafu wewe ukishatoka kafe rwako,tatizo hili si mimi tu waulize wastaafu waliopigana vita vya kagera hakuna hata mmoja ambaye alifaidika na mafao ya aina yoyote pamoja na kwamba tulijitoa kwa ajili ya nchi yetu,Waangalie wastaafu wote wa JWTZ wengi wao siku hizi ni walinzi kwenye maduka ya wahindi ni aibu sana kwa nchi yetu njinsi inavyowazalilisha wastaafu wa jeshi.
 
Tatizo ni kwamba JWTZ, POlisi, Magereza,Usalama wa Taifa (wa viongozi?) wanapokuwa madarakani wanajisahau sana. Kazi yao kubwa ni amri na kupata upendeleo kwa kila jambo. Wanapostaafu wengi wanakuja uraiani wakiwa ma-Lena wa mnaisha. Hiyo inatosha kabisa kuwafanya maisha yao yawe mafupi maana hakuna wa kumkomandi wala wa kumpa kitu cha bure. Wakiishi vema, watastaafu na kuaga dunia kiungwana.Unadhani Kamuhanda ataishi maisha gani baada ya kustaafu?
 
Back
Top Bottom