Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,711
Vita na mahaba ni ardhi na mbingu.Kanali mzima anashindwa kujua kuwa hapo wanamdanga?
Vita ya mahaba haina ujeshi jeshi wala ukamanda
Vita na mahaba ni ardhi na mbingu.Kanali mzima anashindwa kujua kuwa hapo wanamdanga?
Sio kweli, kuna familia mwanamke ndio anampunga.Wewe kuna mwanaume ambaye ameoa ambaye mke wake hamdangi bwana?
Wee tumia hela ule mbususu suala la wananwake kudanga wote tuu wanadanga
Hatuangalii exceptionsSio kweli, kuna familia mwanamke ndio anampunga.
WRONGHata ndoa za vijana wasiopishana parefu ....huko mbele tunaotangulia sana ni sisi wanaume.....
Ni wewe peke yako ndiyo unawahi kufa.Kila la kheri zao...
Anafaida tupu maana wanaume hua tunawahi kufa...