Miaka 27? Mke wangu ana miaka 36 lakini anaonekana ni mdogo kwa huyo binti.mbona pisi inaonekna imeenda kilomita nyingi hivi.
Kanali anaumwagilia moyoKanali anapumzisha mwili na moyo
Ana ujasiri wa kijeshi.Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
View attachment 2079364
Anatafta Rip huyu....Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
View attachment 2079364
Mzee kafiwa na mke mda sio mrefu,istoshe dada umri kajaza na mtoto wamezaa,sasa sijui wale vijana siku mzee akifariki watamuua...hiyo hotel bila mama yao ilishakufa mda mama alikua mpambanajiAcheni kulaumu bana huyo dada kafata upendo watu wazima wengi hujua kujali na ku care kwahyo mahusiano yanakuwa murua with less conflict
Kamzalisha mtoto tayariHongera kwake kwa kuwaolea vijana! Then asiwe ana presha na kisukari maana hata mzigo atakuwa ndio hawezi kugonga na akisikia vijana wanamgongea mshtuko wake ndio kifo chake!!
Hongera kwake!
Sasa ngoja afanye mama wa umri huo watapiga kelele hapa kila.mtuKanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
View attachment 2079364
Kwa Kiswahili ulitaka kusemaje!? 😂😂😂😂Both team are scores
Nothing has lossing
Bora hata ingekuwa kumdanga, huyo dada yuko kikazi zaidi, na hana utani hata kidogo.Kanali mzima anashindwa kujua kuwa hapo wanamdanga?
Gari bovu linavitwa na gari Zima, na si vinginevyo.Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
View attachment 2079364
Yeah, and that girl will make sure the fool lives as short a time as possible, achote mafao atafute vijana wa kula nao, Suckers will never end, that colonel is been taken for a ride!And if he is going for viagra as a power bank he will accelerate his days.
Muda si muda tutasikia Kanali hatunaye tena.Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa ILBORU
Tofauti ya umri wao ni miaka 51. Nini maoni yako?!
View attachment 2079364
Weka pisi hapa yenye zero kilometambona pisi inaonekna imeenda kilomita nyingi hivi.