Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mbunge wa Mbarali mstaafu,mkuu wa wilaya mstaafu Col Edmund Mjengwa ambaye ni baba mlezi wa Catherine Magige(Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha) kafariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma.
Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.
Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.