Kanali Lubinga: Membe anaweza kushtakiwa kwa kumshambulia Amiri Jeshi Mkuu. Akumbuke kuna Court Martial, aheshimu kiapo

True... ni kumdhalilisha
Tena wale wanapitia military basic training kwanza ,kwa ufupi wale ni askari wanapitia pass out na kula kiapo.
Lakini kitendo cha Colonel Lubinga kumkumbusha Membe a,b,c za askari wa akiba ni kumdhalilisha kwa makusudi,japo sijui ni kwa faida ya nani mbele ya raia.
 
"Koloneli" Lubinga aache unanga.This is a very free state! Kama wanaona Member anawasumbua wampige risasi "salasini na tisa" halafu waseme hawamjui aliyempiga.The very gang of bandits! Mtaziumiza familia zenu kwa kuwapigania Wahutu Interahamwe!
 
WanaJF

Kulingana na sheria za kijeshi (military laws /martial laws ukishakuwa askari utakufa kuwa askari, ukistaafu utumishi wako kwenye vyombo vyetu vya utumishi utabaki kuwa askari wa akiba mpaka kifo chako hivyo vyovyote utakavyofanya utabaki kuangaliwa kwa jicho la karibu na wanausalama ndiyo maana hii huitwa askari hastaafu na atadumu kuheshimu kiapo na kuwatii wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama hasa Amiri Jeshi Mkuu.

Kanali mstaafu Ngemela Lubinga ambaye ni Katibu NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa amemtaka Bernard Membe aheshimu kiapo chake cha awali kwa Amiri Jeshi Mkuu na Taifa wakati akimua-attack Rais Magufuli katika kauli zake kuwa anaweza kushtakiwa.

Akiongea na channel Ten, Kanali Lubinga amesema ni jambo la utovu wa nidhamu kwa mtu aliyepata kuwa askari na kuapa kuheshimu mamlaka kuwa sheria zipo na zinafuatwa kwa umakini

---
My take Membe soon atapelekwa Mahakamani kwa uzandiki wake

USSR
Court martial inaingiaje kwenye siasa na mambo yanayohusu uchaguzi /kuchagua au kuchaguliwa? Au ndo tuko chini ya utawala wa kijeshi?
 
KWANZA HUYU KANALI NGEMELA KUTWA ANAWAAMBIA WATU WAKE WA KARIBU KUWA AMECHOKA KUFANYA HIYO KAZI YA SIASA ANATAKA KUPUMZIKA ...ANAONA ANABURUZWA ...
 
WanaJF

Kulingana na sheria za kijeshi (military laws /martial laws ukishakuwa askari utakufa kuwa askari, ukistaafu utumishi wako kwenye vyombo vyetu vya utumishi utabaki kuwa askari wa akiba mpaka kifo chako hivyo vyovyote utakavyofanya utabaki kuangaliwa kwa jicho la karibu na wanausalama ndiyo maana hii huitwa askari hastaafu na atadumu kuheshimu kiapo na kuwatii wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama hasa Amiri Jeshi Mkuu.

Kanali mstaafu Ngemela Lubinga ambaye ni Katibu NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa amemtaka Bernard Membe aheshimu kiapo chake cha awali kwa Amiri Jeshi Mkuu na Taifa wakati akimua-attack Rais Magufuli katika kauli zake kuwa anaweza kushtakiwa.

Akiongea na channel Ten, Kanali Lubinga amesema ni jambo la utovu wa nidhamu kwa mtu aliyepata kuwa askari na kuapa kuheshimu mamlaka kuwa sheria zipo na zinafuatwa kwa umakini

---
My take Membe soon atapelekwa Mahakamani kwa uzandiki wake

USSR
Membe hajawahi kutishiwa nyau
 
Mtamshitaki kwa kifungu kipi..? Hata ivyo tumeshawazoe..kazi kubwa mnayoweza nikuwafunga wapinzani tuu..uko kwenye system yenu..hamuwezi kabisa..mnabwabwajaaa tu.. Membe amewashika pabayaaa..anajua anachofanya..anaijuaa katiba..ndio maana hana pressure kabisaaa...
 
Huna akili kichwani yaani wewe ni empty mind. Kama ni mwanachama mbona hujamuona kwenye vikao vya chama? Na alipofukuzwa tamko si ulilisikia?
Wewe ni Zero Brain ,Ulishawahi kuona mwanachama wa ccm anafukuzwa na kamati kuu bila NEC kukaa na kumfukuza? Acheni UTOPOLO fuateni taratibu za kumfukuza uanachama!! Membe bado ni mwanaCCM.
 
Wewe ni Zero Brain ,Ulishawahi kuona mwanachama wa ccm anafukuzwa na kamati kuu bila NEC kukaa na kumfukuza? Acheni UTOPOLO fuateni taratibu za kumfukuza uanachama!! Membe bado ni mwanaCCM.
Hiyo kamati kuu ni ya nini? Kamati kuu ya ya halimashauri kuu. Maane ni kuwa halmashauri kuu ilishafanya maamuzi.m, CC iliridhia tu.
Ccm haimtaki kwa nini Chadema msichukue?
 
Akiongea na channel Ten, Kanali Lubinga amesema ni jambo la utovu wa nidhamu kwa mtu aliyepata kuwa askari na kuapa kuheshimu mamlaka kuwa sheria zipo na zinafuatwa kwa umakini

---
My take Membe soon atapelekwa Mahakamani kwa uzandiki wake
mmmmhhhhh . . . . . . . ugomvi wa majasusi ahahahaaaa . . . . . Upinzani kama wanajipenda katu wasimkaribishe huyu jamaa anayeitwa Membe watajuta asilani
 
Back
Top Bottom