Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,915
- 13,382
Watu waliofilisika ndiyo wa kuwa nao sasa ila kwa akili.
Kufilisika ina maana kwa wakati fulani alikuwa nazo sana. Anajua chocho za namna mbalimbali. Ana connection na watu watakaokusaidia. Kaa naye,msikilize.
Akupe muongozo. Akuambie kafeli wapi na kwa sababu gani. Alafu chagua cha kwenda nacho. Utapata somo la kukuvusha.
Kila kheri.
Mzee, are you sure!?