Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
Wakuu,
Usikubali mke au mpenzi wako kuwa na vitu vifuatavyo ambavyo ni hatarishi kwa mahusiano yenu.
1. Usiruhusu mkeo kuwa na bodaboda wake, bobaboda wa mkeo kuna uwezekano mkubwa akamla.
2. Usiruhusu mkeo kuwa na vikundi vya kikoba vya hovyo hovyo. Kule wanashauriana vibaya na wanachepuka wakati mwingine ili kupata hata hela ya marejesho ya vikoba alivyoingia bila wewe kujua.
3. Usiruhusu fundi akaenda kufanya ujenzi au ukarabati nyumbani kwako wakati wewe haupo, mkeo analiwa kilaini sana na fundi.
4. Usiruhusu mkeo kuwa na mazoea na mangi dukani au gengeni. Mkeo atapewa nyongeza ya kitu kidogo tu na mangi na kuliwa kiulainiii!
5. Usiruhusu mazoea ya kijinga kijinga ya mkeo na marafiki wa kiume, watamla! Kumbuka hata nyie mlianza kama marafiki.
Ongeza nyingine,
Usikubali mke au mpenzi wako kuwa na vitu vifuatavyo ambavyo ni hatarishi kwa mahusiano yenu.
1. Usiruhusu mkeo kuwa na bodaboda wake, bobaboda wa mkeo kuna uwezekano mkubwa akamla.
2. Usiruhusu mkeo kuwa na vikundi vya kikoba vya hovyo hovyo. Kule wanashauriana vibaya na wanachepuka wakati mwingine ili kupata hata hela ya marejesho ya vikoba alivyoingia bila wewe kujua.
3. Usiruhusu fundi akaenda kufanya ujenzi au ukarabati nyumbani kwako wakati wewe haupo, mkeo analiwa kilaini sana na fundi.
4. Usiruhusu mkeo kuwa na mazoea na mangi dukani au gengeni. Mkeo atapewa nyongeza ya kitu kidogo tu na mangi na kuliwa kiulainiii!
5. Usiruhusu mazoea ya kijinga kijinga ya mkeo na marafiki wa kiume, watamla! Kumbuka hata nyie mlianza kama marafiki.
Ongeza nyingine,