Saoka
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 404
- 563
Wakuu habari zenu.
Napenda kumshukuru huyu mama aliyeninunulia chakula pale babati stand pamoja na kunijazia nauli ya bus la (machame) nilikuwa nimetoka kuchukua certificate yangu pale UDOM. nikapanda bus pale stand ya machame nikitegemea kujazia nauli mbeleni mana kuna rafiki yangu aliniahidi kunijazilishia ila baada ya kumwambia nimeshapanda bus akawa hapatikani tena ndipo mama mmoja mzuri pembeni ya siti yangu alipogundua na kukubali kunijazia hiyo pesa,(ubarikiwe sana mama ulikuwa unatumia iphone huku umeweka airphone maskioni) pia ulinipiga lunch ya nguvu pale babati
Mungu akubariki sana mama popote ulipo .nakumbuka ulishukia majengo,nakutafuta sana mama popote ulipo MUNGU akuzidishie
#kuna watu wana moyo mzuri sana hapa duniani
@samahanini kwa mwandiko wakuu nipo speed mno
Napenda kumshukuru huyu mama aliyeninunulia chakula pale babati stand pamoja na kunijazia nauli ya bus la (machame) nilikuwa nimetoka kuchukua certificate yangu pale UDOM. nikapanda bus pale stand ya machame nikitegemea kujazia nauli mbeleni mana kuna rafiki yangu aliniahidi kunijazilishia ila baada ya kumwambia nimeshapanda bus akawa hapatikani tena ndipo mama mmoja mzuri pembeni ya siti yangu alipogundua na kukubali kunijazia hiyo pesa,(ubarikiwe sana mama ulikuwa unatumia iphone huku umeweka airphone maskioni) pia ulinipiga lunch ya nguvu pale babati
Mungu akubariki sana mama popote ulipo .nakumbuka ulishukia majengo,nakutafuta sana mama popote ulipo MUNGU akuzidishie
#kuna watu wana moyo mzuri sana hapa duniani
@samahanini kwa mwandiko wakuu nipo speed mno