Mkwala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,158
- 1,227
Sasa mwamba ulituangusha sana wadau,yaani katika Iphone ulishindwa hata kupiga jicho ukajua social media anatumia jina gani.Kuna watu hata usipopata namba ila ukiexpose tuu screen ya simu basi atachukua hata jina la facebook,twitter or instagram,telegram,BADOO n.k