elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,461
Siyo mwanamke tuu
Pointi ni kwamba huwezi kumridhisha Mtu.
Fanya unachoweza kumfanyia mtu ila usisubiri shukrani...
Mind your business
Kila mtu anajukumu na furaha yake 100%..
Usiingilie hili jukumu utakuwa frustrated vibaya mno...
Unajukumu na furaha yako tu wengine utajaribu kuwawezesha wasipoona hilo achana nao
Haijalishi ni nani be it your mother, sister, father,Brother,daughter or wife.
Pointi ni kwamba huwezi kumridhisha Mtu.
Fanya unachoweza kumfanyia mtu ila usisubiri shukrani...
Mind your business
Kila mtu anajukumu na furaha yake 100%..
Usiingilie hili jukumu utakuwa frustrated vibaya mno...
Unajukumu na furaha yako tu wengine utajaribu kuwawezesha wasipoona hilo achana nao
Haijalishi ni nani be it your mother, sister, father,Brother,daughter or wife.