I am 42 nimekaa na mwanamke ambaye sasa ana miaka 40, kwa miaka 11. Sasa nimemwacha baada ya kutoelewana na hasa wasiwasi kuhusu mtoto! Alimhamisha binti huyo shule na kumwandikisha kwa ubini wa mwanaume wake wa zamani! Pamoja na yote bado nampenda sana na siku nilipoondoka alilia sana. Wadau nisaidieni nifanyeje?