K kamkoda JF-Expert Member Sep 20, 2012 396 71 Dec 10, 2012 #1 Kwa wenyeji wa wakazi wa Arusha maeneo ya ngaramtoni na seliani kamvua mwanana akoooooooo!!!
IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,384 Dec 10, 2012 #3 Preta said: mbona hakuna mvua......? Click to expand... kapo Preta....sema ndio kanakata sasa
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Dec 10, 2012 #4 Preta said: mbona hakuna mvua......? Click to expand... Kapo bana , sema kama uko kiding'a hakajafika!
Preta said: mbona hakuna mvua......? Click to expand... Kapo bana , sema kama uko kiding'a hakajafika!
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Dec 10, 2012 #5 IGWE said: kapo Preta....sema ndio kanakata sasa Click to expand... IGWE mbona hakana dalili ya kukata? Ndio kwanza kameongezeka! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
IGWE said: kapo Preta....sema ndio kanakata sasa Click to expand... IGWE mbona hakana dalili ya kukata? Ndio kwanza kameongezeka!
georgeallen JF-Expert Member Jun 3, 2011 4,118 1,868 Dec 10, 2012 #6 Acheni uongo. mimi niko mkono huku mbona mvua hamna?
IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,384 Dec 10, 2012 #7 georgeallen said: Acheni uongo. mimi niko mkono huku mbona mvua hamna? Click to expand... mkono ndio wapi...
georgeallen said: Acheni uongo. mimi niko mkono huku mbona mvua hamna? Click to expand... mkono ndio wapi...
M Mmwaminifu JF-Expert Member Oct 15, 2010 1,129 302 Dec 11, 2012 #9 LIpili said: Haya katumieni vizuri, rais atagharamia matibabu Click to expand... Teh teh! Raisi wetu msikivu sana.
LIpili said: Haya katumieni vizuri, rais atagharamia matibabu Click to expand... Teh teh! Raisi wetu msikivu sana.