Kamusi ya TUKI: Kiingereza - Kiswahili/ Kiswahili - Kiingereza

Habari wadau.

Natafuta Kamusi teule ya Kiswahili soft copy PDF.

Hii ni kamusi ya Kenya bila shaka.
Mwenye kuweza hata kunipa Link ya kupakua
itakuwa vizuri tu.
 
Asante mkuu.

Wanauzaje hiyo Hard Copy
Elfu ,25, ni Kamusi ya TUKI, Kiingereza kwenda Kiswahili. Wauzaji ni BAKITA wapo Makumbusho nyuma ya Jhpiego, Elite Bookstore Palm Village
JPEG_20210405_084144_4689379548571356779.jpg
 
Msaada mwenye kujua maana ya "kutohoa" tafadhali

It's usually translated as "adapt" or "modify". In linguistics, when borrowing words from foreign languages, BAKITA uses the term "kutohoa maneno" meaning the adaptations in spelling, class (ngeli) and conjugation (unyambulisho) that are needed in order to use that word.
Kwa mfano, neno "store" la Kiingereza limetoholewa kwa Kiswahili kama "stoo", ikiwekwa katika ngeli ya i-/zi-. (Source: MobiTUKI Kamusi app).
 
It's usually translated as "adapt" or "modify". In linguistics, when borrowing words from foreign languages, BAKITA uses the term "kutohoa maneno" meaning the adaptations in spelling, class (ngeli) and conjugation (unyambulisho) that are needed in order to use that word.
Kwa mfano, neno "store" la Kiingereza limetoholewa kwa Kiswahili kama "stoo", ikiwekwa katika ngeli ya i-/zi-. (Source: MobiTUKI Kamusi app).
Asante sn mary
 
WanaJF wote

kama wale tunaopenda Kamusi ya TUKI Kiingereza-Kiswahili / Kiswahili-Kiingereza, inapatikana app ya bure inayofanya kazi offline (huhitaji data) kwenye simu na kompyuta za aina zote. Msihangaike tena na PDF ama soft copy hizo za zamani!

Pakua/tumia APP YA KAMUSI TUKI HAPA
Android+iPhone+Windows
👇
swahili-dictionary.com


Kwa kui-install, bonyeza menyu kwenye browser yako, kisha "Install app".
  • App inafanya kazi offline. Ukiisha install, huhitaji kutumia MB tena.
  • App hii ni bure kabisa.
  • Haina matangazo (ads).
  • Unaweza kupata vitomeo kwa kutafuta kichwa cha kitomeo ama vinyambuo vyake vyovyote (derivative words).

Kamusi ya TUKI ni kamusi kuu ya Kiingereza-Kiswahili na Kiswahili-Kiingereza. Imetengenezwa na wataalamu wa lugha wa Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI) University of Dar es Salaam, Tanzania.

Kamusi ya Kiswahili-Kiingereza:
  1. Ina vitomeo (entries) zaidi ya 15,000
  2. Inaeleza asili (etimolojia) ya maneno ya Kiswahili
  3. Ina mifano, misemo, nahau, vinyambulisho.
Kamusi ya Kiingereza-Kiswahili:
  1. Idioms and phrases
  2. Technical words
  3. Thousands of examples
  4. Variants for British, American, Australian and South African English.

Some screenshots:

screen1.jpg
screen2.jpg
photo1632159027.jpeg
 
WanaJF wote

kama wale tunaopenda Kamusi ya TUKI Kiingereza-Kiswahili / Kiswahili-Kiingereza, inapatikana app ya bure inayofanya kazi offline (huhitaji data) kwenye simu na kompyuta za aina zote. Msihangaike tena na PDF ama soft copy hizo za zamani!

Pakua/tumia APP YA KAMUSI TUKI HAPA
Android+iPhone+Windows
👇
swahili-dictionary.com


Kwa kui-install, bonyeza menyu kwenye browser yako, kisha "Install app".
  • App inafanya kazi offline. Ukiisha install, huhitaji kutumia MB tena.
  • App hii ni bure kabisa.
  • Haina matangazo (ads).
  • Unaweza kupata vitomeo kwa kutafuta kichwa cha kitomeo ama vinyambuo vyake vyovyote (derivative words).

Kamusi ya TUKI ni kamusi kuu ya Kiingereza-Kiswahili na Kiswahili-Kiingereza. Imetengenezwa na wataalamu wa lugha wa Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI) University of Dar es Salaam, Tanzania.

Kamusi ya Kiswahili-Kiingereza:
  1. Ina vitomeo (entries) zaidi ya 15,000
  2. Inaeleza asili (etimolojia) ya maneno ya Kiswahili
  3. Ina mifano, misemo, nahau, vinyambulisho.
Kamusi ya Kiingereza-Kiswahili:
  1. Idioms and phrases
  2. Technical words
  3. Thousands of examples
  4. Variants for British, American, Australian and South African English.

Some screenshots:

View attachment 1946383View attachment 1946384View attachment 1946388
Mm nahitaji
 
Wanatovuti wapendwa:

Mimi mzungu wa Ireland nimetunga Kamusi ya kwangu ambayo jina lake ni "Istilahi ya Ngamizi".

Nimerejea vyango vingi kukusanya msamiati unaofaa. Ujumbwe nimezisoma hapa kwenye tovuti hii asubuhi leo uliniduwaa kwa sababu ya kuwepo kwa maneno ya Kiingereza k.m download, link na kadhalika.

Maneno hayo yananiaibisha. Tafadhali tutumie Kiswahili inayopatikana kwa urahisi ila tufanye jaribio zaidi kuwa makini. Ikiwa wataka nakala ya Kamusi yangu hiyo ya Ngamizi (Tarakirishi) ieleweke kwamba hakina ithibati wala sijapata ruzuku kutoka kwingeneko kufanya kazi hiyo.

Matumaini yangu ndio kuwatolea wapendao Kiswahili cha kisasa ili pamoja tuboreshe hali ya kilugha hasa kwenya fani ya kingamizi. Nitafurahi ikiwa makosa yote kamusini yanifikishe ili nafaidi nafasi ya masahihisho baadaye!

Nitumie anwani ya pepe nikutumie kamusi. Ya kwangu ndio: klfmzungu@gmail.com

Asante.
uko wapi mzungu mbona hutumi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom