Kamusi ya kichaga cha Marangu kwenda kiswahili

Ndio maana nimesema Lugha ya" kimarangu" wametohoa kutoka maneno ya kimasai hao siii wachaggha. Wachaggha ni wa uru, wa machame na wakibosho ambao wote (1) maziwa = malela (2) maji = muda (3)pombe = wari

Maziwa unaweza ita malela au marua,maji = mringa, pombe =wari √
Makosa ni kusema wauru na kibosho ndio wachaga asili, ukweli wa chaga wamegawanyika katika sehemu nne kibosho, machame marangu na rombo, hao uru,oldmosh,mbokomu,kirua, sia, nk ni sehemu tu ya hao wanne. Kwa hio wauru sio wachaga asili bali wamegawnyika toka kibosho au marangu. Uchaga unaundwa na hao wanne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maziwa unaweza ita malela au marua,maji = mringa, pombe =wari √
Makosa ni kusema wauru na kibosho ndio wachaga asili, ukweli wa chaga wamegawanyika katika sehemu nne kibosho, machame marangu na rombo, hao uru,oldmosh,mbokomu,kirua, sia, nk ni sehemu tu ya hao wanne. Kwa hio wauru sio wachaga asili bali wamegawnyika toka kibosho au marangu. Uchaga unaundwa na hao wanne.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio manua
 
Aichi—Anajua

iachikyia--Kujenga

Ichele—Kichaga

Ichondi- --- Kondoo

Iikyelyia—Kuogelea

Ikawilyia—Kupalilia

Ilyingoi---Jogoo

inyi—Mimi

Ipalipali- --Bahari

Ipore---Yai

Irikoso—Taji

Isewa—Kibuyu

Itukuo—Kushangaa

Iwuwu—Kuona makengeza

Iyesho---- Majaribu

Kiamba---Shamba

Kyasaka—Ugenini (Mswahili)

Kyiaatyi—nafasi

Kyo_kyimaryu—Ndiyo sababu

Kyuwere—Kumebakia nafasi ndugu

Lakucha—Usiku mwema

Linyala—Kuzarau

Maakulembecherye—Unafiki

Mapore—Makande

Mapuchi—Mawingu

Masaanga—Mataifa

Matu matu—Tafadhali

Mbuya---Rafiki

Mchola--Kichochoro

Mkuuchu—Kiburi

Mkuuma---Upepo

Mlenya—Mchanga

mmesa—Adui Mtiima—Giza nono

Mmmbaryi—Jua

Momrasa—Jirani

Momu- hori la ng’ombe

Msasariko—Masazo

Msotsa---Kushuka

Na-Ngoseraa—Na zaidi

Ndekye—Ndege

Nduwa-- Dimbwi

Ngambura--kipande cha nyama

Njoonyi—Ngozi

Nyi Kryirumi—Ni Utukufu

ote=hapana

Parapara—barabara

Pfinya—Nguvu

Rumbu—Mdomo

Sera’—Mgomba mchanga

Shira’—vita

Tao—Ng’ombe jike

Tikira- sogea

ukou=Jana

Ulakuso—Tafadhali

Ulowo—Habari

Unga—msoo

Unyamari’—Dhambi

Ushanguny—Usoni

Walutsa—Geuza

Wanda—chini
Kama kuna kundi (group) la wachaga naombeni tafadhalini mniunge nataka nijikumbushe kichaga mara kwa mara.
 
Aichi—Anajua

iachikyia--Kujenga

Ichele—Kichaga

Ichondi- --- Kondoo

Iikyelyia—Kuogelea

Ikawilyia—Kupalilia

Ilyingoi---Jogoo

inyi—Mimi

Ipalipali- --Bahari

Ipore---Yai

Irikoso—Taji

Isewa—Kibuyu

Itukuo—Kushangaa

Iwuwu—Kuona makengeza

Iyesho---- Majaribu

Kiamba---Shamba

Kyasaka—Ugenini (Mswahili)

Kyiaatyi—nafasi

Kyo_kyimaryu—Ndiyo sababu

Kyuwere—Kumebakia nafasi ndugu

Lakucha—Usiku mwema

Linyala—Kuzarau

Maakulembecherye—Unafiki

Mapore—Makande

Mapuchi—Mawingu

Masaanga—Mataifa

Matu matu—Tafadhali

Mbuya---Rafiki

Mchola--Kichochoro

Mkuuchu—Kiburi

Mkuuma---Upepo

Mlenya—Mchanga

mmesa—Adui Mtiima—Giza nono

Mmmbaryi—Jua

Momrasa—Jirani

Momu- hori la ng’ombe

Msasariko—Masazo

Msotsa---Kushuka

Na-Ngoseraa—Na zaidi

Ndekye—Ndege

Nduwa-- Dimbwi

Ngambura--kipande cha nyama

Njoonyi—Ngozi

Nyi Kryirumi—Ni Utukufu

ote=hapana

Parapara—barabara

Pfinya—Nguvu

Rumbu—Mdomo

Sera’—Mgomba mchanga

Shira’—vita

Tao—Ng’ombe jike

Tikira- sogea

ukou=Jana

Ulakuso—Tafadhali

Ulowo—Habari

Unga—msoo

Unyamari’—Dhambi

Ushanguny—Usoni

Walutsa—Geuza

Wanda—chini
Siku ukipata hii meseji rekebisha..
Hakunaga kichaga cha Marangu. Ni kichaga cha Vunjo ambapo huzungumzwa na kata za Kirua, Kilema, Marangu, Mamba na Mwika. Kkkt vunjo wame tafsirigi nyimbo za Tumwabudu bwana kwa Kivunjo na Sio Kimarangu ukipata kitabu kile ambacho hutumika sana kwa wa luther Marangu,Mamb na Mwika utaona wameandika Kivunjo
 
Wamarangu na Warombo ndoo wameharibu kichaga . Sasa hicho ni kichagga au kimasai au kikikuyu?
Hakunaga Kichaga cha Marangu..
Ni Kivunjo ambapo huzungumzwa na kata za Mwika, Mamba, Marangu, Kilema na Kirua. Huezi fananisha Marangu na Rombo ambapo ni Wilaya yenye nazo kata na utofauti wa lugha japo huingiliana kama ilivyo Wilaya ya Moshi yani Kivunjo, Ki Oldmoshi , Uru , Mbokomu na kibosho hawasemani sana hivyo hivyo wilaya ya Hai na same na mwanga......
 
Ndio maana nimesema Lugha ya" kimarangu" wametohoa kutoka maneno ya kimasai hao siii wachaggha. Wachaggha ni wa uru, wa machame na wakibosho ambao wote (1) maziwa = malela (2) maji = muda (3)pombe = wari
Ni hivi. Kuna wa chaga wa Moshi (Kibosho, Uru, Mbokomo,Old Moshi,na Vunjo ambayo ni Dola kubwa Kilimanjaro yan wa *Kirua,Kilema,Marangu,Mamba na Mwika) kuna chaga wa Sia, Hai na Rombo. Sasa kwa hao wa chaga wa Moshi kuna baadhi ya maeneno huingiliana kutokana na ukaribu. Mfano wa Vunjo na Old Mosh huingiliana kama ilivyo Uru na kibosho. ..........
 
Ndio maana nimesema Lugha ya" kimarangu" wametohoa kutoka maneno ya kimasai hao siii wachaggha. Wachaggha ni wa uru, wa machame na wakibosho ambao wote (1) maziwa = malela (2) maji = muda (3)pombe = wari
Wa Uru na wa Marangu hawatofautiani asee.
 
Aichi—Anajua

iachikyia--Kujenga

Ichele—Kichaga

Ichondi- --- Kondoo

Iikyelyia—Kuogelea

Ikawilyia—Kupalilia

Ilyingoi---Jogoo

inyi—Mimi

Ipalipali- --Bahari

Ipore---Yai

Irikoso—Taji

Isewa—Kibuyu

Itukuo—Kushangaa

Iwuwu—Kuona makengeza

Iyesho---- Majaribu

Kiamba---Shamba

Kyasaka—Ugenini (Mswahili)

Kyiaatyi—nafasi

Kyo_kyimaryu—Ndiyo sababu

Kyuwere—Kumebakia nafasi ndugu

Lakucha—Usiku mwema

Linyala—Kuzarau

Maakulembecherye—Unafiki

Mapore—Makande

Mapuchi—Mawingu

Masaanga—Mataifa

Matu matu—Tafadhali

Mbuya---Rafiki

Mchola--Kichochoro

Mkuuchu—Kiburi

Mkuuma---Upepo

Mlenya—Mchanga

mmesa—Adui Mtiima—Giza nono

Mmmbaryi—Jua

Momrasa—Jirani

Momu- hori la ng’ombe

Msasariko—Masazo

Msotsa---Kushuka

Na-Ngoseraa—Na zaidi

Ndekye—Ndege

Nduwa-- Dimbwi

Ngambura--kipande cha nyama

Njoonyi—Ngozi

Nyi Kryirumi—Ni Utukufu

ote=hapana

Parapara—barabara

Pfinya—Nguvu

Rumbu—Mdomo

Sera’—Mgomba mchanga

Shira’—vita

Tao—Ng’ombe jike

Tikira- sogea

ukou=Jana

Ulakuso—Tafadhali

Ulowo—Habari

Unga—msoo

Unyamari’—Dhambi

Ushanguny—Usoni

Walutsa—Geuza

Wanda—chini
kamsafo
 
Ni hivi. Kuna wa chaga wa Moshi (Kibosho, Uru, Mbokomo,Old Moshi,na Vunjo ambayo ni Dola kubwa Kilimanjaro yan wa *Kirua,Kilema,Marangu,Mamba na Mwika) kuna chaga wa Sia, Hai na Rombo. Sasa kwa hao wa chaga wa Moshi kuna baadhi ya maeneno huingiliana kutokana na ukaribu. Mfano wa Vunjo na Old Mosh huingiliana kama ilivyo Uru na kibosho. ..........
Shimbony mleu.
 
Kukaa kwangu uchagani kipindi nasoma msingi nimejifunza mengi. Kichaga hubadilika kulingana na jiografia. Mfano ukianzia tarakea, useri, mashati .Mkuu hadi hapo mamsera , kuna baadhi ya matamshi hubadilika ila mzizi wa neno hubaki lile lile
 
Back
Top Bottom