Kamuambukiza kaswende!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,806
15,379
Hebu tuchukulie kwamba, umegundulika kuwa una maradhi ya zinaa. Inaweza kuwa kaswende, kisonono, pangusa au hata ukimwi. Halafu tuchukulie kwamba una mchumba, mpenzi, mke ama mume. Halafu una uhakika hujawahi kutoka nje. Je utafanya nini?
 
Hebu tuchukulie kwamba, umegundulika kuwa una maradhi ya zinaa. Inaweza kuwa kaswende, kisonono, pangusa au hata ukimwi. Halafu tuchukulie kwamba una mchumba, mpenzi, mke ama mume. Halafu una uhakika hujawahi kutoka nje. Je utafanya nini?
Hapa ndio pagumu yaani upate kaswende just from nowhere
 
Kwenda Hospitali kupata tiba ya haraka ni sahihi zaidi, maana kuanza kuulizana nani kaleta ni kupoteza muda ambao kimsingi ungefaa kutumika kwa matibabu!!!
 
Mbona hii simple. Yalimkuta jamaa kaambukizwa gono nje huko, kaleta kwa mkewe. Mke hakuonyesha dalili japo alikuwa na maambukizo, na kila mume akijitibu, akirudi kwa mkewe anapata tena. Ngoma ilikuwa atamwambiaje mkewe kuwa wana gonjwa la zinaa?
 
Ndiyo mwisho wa uchumba/ndoa maana ni ushahidi tosha kuwa, hivyo kuendelea kuishi nae ni kujitafutia ugonjwa wa moyo labda kama huo ugonjwa unaweza kupata bila kujamiiana....
 
Hebu tuchukulie kwamba, umegundulika kuwa una maradhi ya zinaa. Inaweza kuwa kaswende, kisonono, pangusa au hata ukimwi. Halafu tuchukulie kwamba una mchumba, mpenzi, mke ama mume. Halafu una uhakika hujawahi kutoka nje. Je utafanya nini?


hapo kwenye red ina maana mwenzi wako ndo kakuambukiza, lol.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom