Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Jamaa yangu alichukua demu wana kama miaka miwili sasa.
Kumbe demu kaungua na alikuwa tayari kwenye tiba ila alimficha jamaa yangu asijue.
Sasa wote wawili ni waathirika.
Lakini naamini yote ni kwa sababu demu hakumweka wazi jamaa yangu.
Hatujui hata tunamfanya nini huyu demu. Kifupi hasira zipo juu hata sitaki kumuona huyo demu maana sina hakika ya nitakachomfanyia.
Kumbe demu kaungua na alikuwa tayari kwenye tiba ila alimficha jamaa yangu asijue.
Sasa wote wawili ni waathirika.
Lakini naamini yote ni kwa sababu demu hakumweka wazi jamaa yangu.
Hatujui hata tunamfanya nini huyu demu. Kifupi hasira zipo juu hata sitaki kumuona huyo demu maana sina hakika ya nitakachomfanyia.