Kamuachisha shule binti yangu, kamuoa. Anasema hakuna wa kumfanya lolote Serikali hii

Chukua mahari ule mama yangu. Kwani binti katekwa?. Narudia patana na huyo baba ule pesa mapema. Huyo binti yako ni kichomi atakuchoma. Labda uwe muhaya maana wahaya kwa kupenda kesi hawajambo.
 
Umeandika namba nusu,sasa utasaidiwaje?
polisi wa humu jf wangempigia na kumuita kituo kilicho karibu naye ili kuchukuliwa hatua stahiki.
 
kwa kidato cha sita unaweza ukawa unajisumbua
utamtoa kwa huyo mzee atakutoroka atarudi tena huko
chukua mahari muache maisha yamfundishe
 
Habari za leo wapendwa. Sijui ni dharau kwa serikali ama siasa moe sielewi. Kuna baba mtu mzima ana watoto wakubwa.

Binti yangu alikuwa anasoma Sengerema kidato cha sita. Huyo baba kamuachisha binti yangu shule na kumuweka ndani kinyumba. Huyo baba anasema Serikali hii hakuna wa kumfanya chochote hata twende wapi hawezi kukamatwa.

Mimi mama yake ni mgonjwa nahudhuria dialysis Bugando maana mie ni mgonjwa wa figo.

Katumia udhaifu wangu kunifanyia hivyo. Nina imani na Serikali iliyoko madarakani na wapigania haki popote walipo kuwa watanisaidia.

Mimi niko Mwanza
Namba yangu ya Simu ni 0745 317 ***
Jina langu ni Sekunda
Binti yangu ni Ph***

Aliyemuachisha shule anaitwa Razaro
Namba yake ya simu ni 0757262*** na yuko hapa hapa Mwanza

Naomba serikali ioneshe kwamba ipo. Katika utawala huu nina imani mama atatupigania.
Njoo PM mama
 
Wala usiangahike, kwa maana support yote anapata kwa mwanao ndiyo maana anakua na jeuri...

Mwanao ni mjinga sana, mtoto umlieavyo ndivyo akuavyo...
 
Acheni binti achezee ukuni na afaidi mema ya nchi, shule kitu gani na huku mnasema mtaani 'KAZI' hakuna!

To each, their own.
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom