Kampuni za simu zaweza kusaidia kumjua mgoni wako?

Akili Kichwani

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,508
216
Jana nimepata email ya rafiki yangu anaomba ushauri wangu eti anamhisi mkewe anatembea nje ya ndoa.

Anasema wao kwenye ndoa yao kila mtu ana uhuru wa kushika na hata kutumia simu ya mwenzie, katika kuperuzi siku moja akaona kuna mtu ameseviwa kama “taxi 3”. Hakupata shida kwani alijua ni no ya taxi driver ili apigiwe ikitokea dharura. lakini aliposona call register aligundua kuwa tofaui na mategemeo kwamba mkewe ndoye angekuwa anapiga simu akihitaji taxi, akakuta huyu taxi 3 ndiye hupiga simu mara nyingi kwa mkewe.

Sasa baada ya uchunguzi, amegundua pasi na shaka kuwa huyo si taxi diver bali ni hawara wa mkewe! Ameamua kuwanyatia ili akiwapatia awafunze adabu. Alienda ofisi za tigo (no ya huyo tax3) wamsaidie kuangalia jina lililosajiliwa kwa hiyo no wakamkatalia eti wanaema hawawezi kumtajia jina ni siri. Sasa anaulza:
je, ni kweli makampuni ya simu hayawezi kumsaidia? kama yanaweza, afuate utaratiu gani?
Vipi akipeleka cheti cha ndoa kthibitisha ndoa yao bado watakataa?
Kwa ujumla ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa ili haya makampun yatoe ushirikiano wa suala kama hili?
 
kuliwa uroda mkeo haina uhusiano na makampuni ya simu...vipi akitumia baru (posta) au barua pepe utafanyaje? kutoka nje ni tabia chafu tu...makampuni ya simu hayaruhusiwi kutoa details unless kwa sababu za kiusalama tena kwa idhini ya mahakama!
 
Maadam umeshapata namba ya simu (tigo),wewe tengeneza mtego utambaini mwizi wako.waweza mtumia mwanamke mwingine ampigie simu akijifanya ndo mamsapu anahitaji kumwona hivyo amwelekeze sehemu watakapoonana.na hapo mtego lazima unase.
 
Aache kupoteza muda wake,kampuni ya simu wana haki ya kumnyima information hizo kwakuwa hairuhusiwi kutoa info za mtu bila ridhaa yake. Kwa mujibu wa sheria za private info za mtu ni kwamba hata polisi hawawezi kwenda kienyeji na kuchukua info hizo. Info hizo zinaweja kupatikana kwa kibali maalumu kutoka mahakamani yani(Court Order) na hata polisi wakitaka kumchunguza mtu kwa njia ya mtandao ni lazima wawe na kibali hicho na si kienyeji. Ushauri wa bure, iwapo bado ana nia ya kumchunguza huyo mtu aende mahakamani aeleze nia yake na kama mahakama ikiridhia itampa hiyo court order lakini ni kitu kisichowezekana. Mwambie asipoteze muda wake.
 
Maadam umeshapata namba ya simu (tigo),wewe tengeneza mtego utambaini mwizi wako.waweza mtumia mwanamke mwingine ampigie simu akijifanya ndo mamsapu anahitaji kumwona hivyo amwelekeze sehemu watakapoonana.na hapo mtego lazima unase.

hata mimi nilimshauri hivyo badala ya kuhangaika na makampuni ya simu.

lakini nilimsihi asije akaua mtu kwani nimjuavuo ana hasira sana japo nyumbani kwake hana rekodi ya kugombana na mkewe,
 
Maadam umeshapata namba ya simu (tigo),wewe tengeneza mtego utambaini mwizi wako.waweza mtumia mwanamke mwingine ampigie simu akijifanya ndo mamsapu anahitaji kumwona hivyo amwelekeze sehemu watakapoonana.na hapo mtego lazima unase.
inaonekana wewe ni mzoefu wa hii ki2
 
Mwambie aache upuuzi.
..Haswaaaa...kwani hata kama anamegwa jioni si anarudia nyumbani na yeye anapata mgao wake?? Pia ajichunguze na yeye huenda mandingo yako yamepooza so mama ameonja ya taxi driver anapagawa!!! Kaaaazi kweli kwelii...
 
..Haswaaaa...kwani hata kama anamegwa jioni si anarudia nyumbani na yeye anapata mgao wake?? Pia ajichunguze na yeye huenda mandingo yako yamepooza so mama ameonja ya taxi driver anapagawa!!! Kaaaazi kweli kwelii...

hapo tu penye bold mkuu, na ukimwi wote huu ......... ataubebea mbeleko gani???????????
 
Ashamaliza mzizi wa Fitina hapo; amconfornt mkewew na alazimishwe simu ipigwe mbele yake; na pengine hata yeye ampigie huyo jamaa kumtafadhalisha aachane na mkewe!:D
Ashaupata ukweli sasa anataka kufumania? Anaweza kuhimili matokeo ya fumanizi?
 
hapo tu penye bold mkuu, na ukimwi wote huu ......... ataubebea mbeleko gani???????????
Ndio maana nikamuongezea na ushauri wa bure ajaribu kuangalia na performance yake mazee.. Sioni mbadala wake hata kama aatamuuliza mkewe au atakwenda kwenye hizo kampuni za simu ni bure tu kama hapigi mzigo katika kiwango cha uhakika ategemee maumivu tu..
 
Mke kutembea nje ya ndoa..makapuni ya simu haiwahusu kutoa jina au majina ya walio wasiliana na mkeo. kwanza ingekuwa vema kuwekeana mipaka na mkeo kuhusu kupokea au kutumia simu zenu maana wote ni wacheza rafu za uroda.
 
Jana nimepata email ya rafiki yangu anaomba ushauri wangu eti anamhisi mkewe anatembea nje ya ndoa.

Anasema wao kwenye ndoa yao kila mtu ana uhuru wa kushika na hata kutumia simu ya mwenzie, katika kuperuzi siku moja akaona kuna mtu ameseviwa kama “taxi 3”. Hakupata shida kwani alijua ni no ya taxi driver ili apigiwe ikitokea dharura. lakini aliposona call register aligundua kuwa tofaui na mategemeo kwamba mkewe ndoye angekuwa anapiga simu akihitaji taxi, akakuta huyu taxi 3 ndiye hupiga simu mara nyingi kwa mkewe.

Sasa baada ya uchunguzi, amegundua pasi na shaka kuwa huyo si taxi diver bali ni hawara wa mkewe! Ameamua kuwanyatia ili akiwapatia awafunze adabu. Alienda ofisi za tigo (no ya huyo tax3) wamsaidie kuangalia jina lililosajiliwa kwa hiyo no wakamkatalia eti wanaema hawawezi kumtajia jina ni siri. Sasa anaulza:
je, ni kweli makampuni ya simu hayawezi kumsaidia? kama yanaweza, afuate utaratiu gani?
Vipi akipeleka cheti cha ndoa kthibitisha ndoa yao bado watakataa?
Kwa ujumla ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa ili haya makampun yatoe ushirikiano wa suala kama hili?


Ampigie huyo tax driver aje amchukue nyumbani kwenda mahali wakati mkewe akiwepo nyumbani na asimpe nafasi ya kuwasiliana naye. Ikiwezekana atumie namba ambayo mkewe hajui. Atapata majibu yenye kuelekea ukweli.
 
Mke kutembea nje ya ndoa..makapuni ya simu haiwahusu kutoa jina au majina ya walio wasiliana na mkeo. kwanza ingekuwa vema kuwekeana mipaka na mkeo kuhusu kupokea au kutumia simu zenu maana wote ni wacheza rafu za uroda.


mkuu,

dark city akikusoma hapo kwenye bold, ataingilia kati sasa hivi!!!!!!!!!!!
 
Ampigie huyo tax driver aje amchukue nyumbani kwenda mahali wakati mkewe akiwepo nyumbani na asimpe nafasi ya kuwasiliana naye. Ikiwezekana atumie namba ambayo mkewe hajui. Atapata majibu yenye kuelekea ukweli.

Hajajibu swali langu!

KIFUA ANACHO YAKHE?!

Maana asije dondoka kwa mshtuko!

We kama vipi akubali matokeo tu! Ya nini kujifia kwa presha?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom