Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
Jana nimepata email ya rafiki yangu anaomba ushauri wangu eti anamhisi mkewe anatembea nje ya ndoa.
Anasema wao kwenye ndoa yao kila mtu ana uhuru wa kushika na hata kutumia simu ya mwenzie, katika kuperuzi siku moja akaona kuna mtu ameseviwa kama taxi 3. Hakupata shida kwani alijua ni no ya taxi driver ili apigiwe ikitokea dharura. lakini aliposona call register aligundua kuwa tofaui na mategemeo kwamba mkewe ndoye angekuwa anapiga simu akihitaji taxi, akakuta huyu taxi 3 ndiye hupiga simu mara nyingi kwa mkewe.
Sasa baada ya uchunguzi, amegundua pasi na shaka kuwa huyo si taxi diver bali ni hawara wa mkewe! Ameamua kuwanyatia ili akiwapatia awafunze adabu. Alienda ofisi za tigo (no ya huyo tax3) wamsaidie kuangalia jina lililosajiliwa kwa hiyo no wakamkatalia eti wanaema hawawezi kumtajia jina ni siri. Sasa anaulza:
je, ni kweli makampuni ya simu hayawezi kumsaidia? kama yanaweza, afuate utaratiu gani?
Vipi akipeleka cheti cha ndoa kthibitisha ndoa yao bado watakataa?
Kwa ujumla ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa ili haya makampun yatoe ushirikiano wa suala kama hili?
Anasema wao kwenye ndoa yao kila mtu ana uhuru wa kushika na hata kutumia simu ya mwenzie, katika kuperuzi siku moja akaona kuna mtu ameseviwa kama taxi 3. Hakupata shida kwani alijua ni no ya taxi driver ili apigiwe ikitokea dharura. lakini aliposona call register aligundua kuwa tofaui na mategemeo kwamba mkewe ndoye angekuwa anapiga simu akihitaji taxi, akakuta huyu taxi 3 ndiye hupiga simu mara nyingi kwa mkewe.
Sasa baada ya uchunguzi, amegundua pasi na shaka kuwa huyo si taxi diver bali ni hawara wa mkewe! Ameamua kuwanyatia ili akiwapatia awafunze adabu. Alienda ofisi za tigo (no ya huyo tax3) wamsaidie kuangalia jina lililosajiliwa kwa hiyo no wakamkatalia eti wanaema hawawezi kumtajia jina ni siri. Sasa anaulza:
je, ni kweli makampuni ya simu hayawezi kumsaidia? kama yanaweza, afuate utaratiu gani?
Vipi akipeleka cheti cha ndoa kthibitisha ndoa yao bado watakataa?
Kwa ujumla ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa ili haya makampun yatoe ushirikiano wa suala kama hili?