Osei Tz
Member
- Sep 20, 2018
- 79
- 53
"Insurance is like a shield, it covers us against unforeseen events like illness, accident or even dealth."...
1. Inakuaje mtu anakatwa kweny salary kila mwezi makato ya bima ya afya then kaugua anaambiwa alipie baadhi ya dawa au vipimo?
2. Yale makato ya kila mwezi ile ni akiba yanqu ambayo kimsingi siku nikiugua au kupata ajari inisaidie, wanavyosema hii dawa ipo inje ya bima manaake nini wadau?
3. Je hili tatizo na huko mjini lipo au ni huku tu vijijini?
4. Mfano ingekua huduma ya bima kwa wafanyakazi ni hiari je ungekubali kujiunga?
ASANTENI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Inakuaje mtu anakatwa kweny salary kila mwezi makato ya bima ya afya then kaugua anaambiwa alipie baadhi ya dawa au vipimo?
2. Yale makato ya kila mwezi ile ni akiba yanqu ambayo kimsingi siku nikiugua au kupata ajari inisaidie, wanavyosema hii dawa ipo inje ya bima manaake nini wadau?
3. Je hili tatizo na huko mjini lipo au ni huku tu vijijini?
4. Mfano ingekua huduma ya bima kwa wafanyakazi ni hiari je ungekubali kujiunga?
ASANTENI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app