Dogo leo umejipinda.
Tumelisikia ombi lako...tutawaleta wachinaWaturuki Tena?
SGR Moro km 190 mwaka wa tano huu, teknolojia ya 21st century.
Really.
Na bado hawana mpango wa kumaliza.
Turkey is just like Zimbabwe or Burundi.
Mwanza oyeeAngekuwa yule bwana wa " umetuletea bil.417" kama haitoshi umeamua kusainia mikataba Mwanza,nani kama mamaaaa
When are you going to employ your local engineers? I am made to believe a lot of them are jobless.Tumelisikia ombi lako...tutawaleta wachina
Tumefungua nchi ..have you forgotten?When are you going to employ your local engineers? I am made to believe a lot of them are jobless.
Why use foreign engineers when you are using local funds?
Kuna mainjinia Tanzania wataingia kaburini hawajatumika, nchi kila siku "foreign engineers" wenu mnawa train wa Nini??
Asante boss wangu.Tumefungua nchi ..have you forgotten?
15 June 2021
Mwanza, Tanzania
Rais Samia anashuhudia utiaji saini mikataba 5 ya ujenzi na ukarabati wa meli Shilingi Bilioni 417.
Source: ITV TANZANIA
Rais Samia Suluhu Hassan ashuhudia utiaji saini mikataba 4 ya ujenzi wa meli mpya na mmoja wa ukarabati wa meli . Mheshimiwa Rais amefarijika kuona kazi inaendelea ya kuifanya Mwanza na ukanda wa ziwa Victoria kuwa kitovu cha uchumi kwa maeneo ya Afrika Mashariki na pia nchi za Maziwa Mkuu za Burundi, Rwanda pamoja na Mashariki ya DR Congo.
Shughuli hiyo ilifanyika Leo Mwanza Tanzania ambapo wizara ya Ujenzi kwa niaba ya MSCL Kampuni ya Huduma za Meli Tanzania na Yücel Tekin Shipbuilding Company YÜTEK kampuni toka Uturuki zilisaini mkataba wa thamani ya dola za kimarekani US$180 million sawa na shilingi 417,240,000,000.
- Meli ya mizigo uwezo tani 3000 ya kubeba mabehewa (wagon ferry) kukatiza ziwa Victoria
- Meli ya abiria uwezi watu 600 na tani 400 ziwa Tanganyika
- Meli ya mizigo uwezo tani 2800 ziwa Tanganyika
- Meli uwezo tani 2800 ya mizigo katika bahari ya Hindi
- Wakati meli ya MV Umoja iliyopo ktk ziwa Victoria ukarabati wake utafanywa na Kampuni toka South Korea.
Katika hafla hiyo balozi wa Turkey nchini Tanzania, Mhe. Dr. Mehmet Güllüoğlu alikuwa miongoni mwa wageni wengi waliohudhuria shughuli ya utiaji mkataba baina ya mkandarasi wa ujenzi wa meli toka kampuni ya YÜTEK ya Uturuki na wizara ya Ujenzi ya Tanzania.
News in English :
15 June 2021
Mwanza, Tanzania
YÜTEK signed 4 new shipbuilding contracts with the Ministry of Transport of Tanzania
Yücel Tekin Shipbuilding Company (YÜTEK) signed a new shipbuilding contract to build 2 general cargo, 1 passenger and 1 wagon ferry ship to be built for the Ministry of Transport of Tanzania. It was learned that the cost of the project was 180 million dollars.
The Turkish shipbuilding industry signed 4 new shipbuilding contracts to the Tanzania Ministry of Transport within the framework of its African expansion.
YÜTEK Shipbuilding Industry Company signed a new shipbuilding contract to Tanzania Ministry of Transport to build 2 general cargo, 1 passenger and 1 wagon ferry ship. It was learned that the cost of the project was 180 million dollars.
Tanzania’s first female President Samia Suluhu Hassan participated in the new shipbuilding contract to be built under the auspices of the Tanzania Ministry of Transport. Mehmet Güllüoğlu and many guests attended.
It was stated that the design of the newly built ships will be carried out by Artı Mühendislik and 3 of the ships to be built by YÜTEK will be built in Tanzania and one general cargo ship will be built in Turkey.
It was stated that 4 new construction ships to be built for the Ministry of Transport of Tanzania will cost 180 million dollars, while it was stated that the ships to be built in Tanzania will serve in Lake Tanganyika and Lake Victoria.
FEATURES OF NEW BUILT SHIPS
Project.1: 3500dwt 100x17m Multi purpose Cargo vessel, operation area Lake Tanganyika. It will carry General Cargo in Cargo holds, Refrigerated and Normal 20″ Containers on deck, 2 25Tx17m Crane-mounted vehicles on the aft deck.
Project.2: 3500dwt 80x17m Multi purpose Cargo vessel, operation site East African Coast/Indian Ocean. General Cargo in Cargo warehouses, Refrigerated and Normal 20″ Container on the deck, 1 pcs. 25Tx17m Crane mounted, will carry vehicles on the aft deck. There will be an animal deck on the vehicle deck that will carry 65 cattle.
Project.3: 600 Passengers + 30 crew + 20 Vehicles + 80x17m Passenger Cargo ship with 400ton load capacity. Operation zone Lake Tanganyika.
Project.4: 124x17m Wagon Ferry with a capacity of 26 wagons. Operation area Lake Victoria
Source : YÜTEK signed 4 new shipbuilding contracts with the Ministry of Transport of Tanzania - News2Sea
Habari za ziada:
Soma jinsi mabalozi wanategemewa kuwezesha fursa kwa kutumia diplomasia ya kiuchumi : Kuletewa Balozi mtaalamu wa Ulinzi wa Masuala ya Mitandao ni 'Diplomatic Gesture' ?
Kwa hiyo hapo umeona ni Mwanza tuu? Tanganyika na Indian Ocean hujaziona meli?Mwanza oyee
Huku SGR, kule daraja la busisi, hapa upanuzi uwanja wa ndege ambao zaidi ya 90% umekamirika, ziwani meli zinazidi kujengwa, nk. Hakika Mwanza inazidi kushamili na kustawi.
Kweni wewe umeona nimeandika meli tu hapo?!Kwa hiyo hapo umeona ni Mwanza tuu? Tanganyika na Indian Ocean hujaziona meli?
Ajabu sana , haujaona bidhaa ,watu na watu kuwa utahitajika usafiri .Mradi huu ni wa maana kuliko ununuzi wa midege.
Hizi ni akili nyembamba kufikiria nyanja moja ya usafirishaji ina umuhimu kuliko nyanja zingine. Usafirishaji wa aina yoyote ile ni muhimu katika kuendeleza uchumi wa nchi, uwe wa ndege, meli, reli, barabara hata mwendo kasi.
Huwezi kusema meli zinamgusa mwananchi wa kipato cha chini kwasababu mkulima anazitumia kusafirisha mazao yake. Je ndege ambazo inatumika kubeba mazao ya mkulima na kuyapeleka mbali kwenye masoko ya nje na kuleta fedha za kigeni, haisaidii mkulima au mtu wa kipato cha chini?
Tanzania haijingizi kwenye biashara ya anga kwa kushindana na mashirika mengine makubwa ya ndege, Tanzania inatumia ndege zake kuchochewa mauzo ya bidhaa zake nje ya nchi, ikiwa pamoja na utali, madini, mazao, mifugo hata tiba.
Tumelisikia ombi lako...tutawaleta wachina
CHAD Chad: New details emerge about the death of former president Déby................................................. MALI Inside Mali’s coup within a coup...... ETHIOPIA Why Is Ethiopia at War With Itself? SENEGAL Senegal’s Political Crisis
Unarudia kosa la kusema fedha za kununua ndege zingetumia kwenye sekta nyingine. Nchi haiwezi kuelemea upande mmoja na kuacha kwingine, kama tulifuata mawazo hayo tutatumia muda mrefu kupata maendeleo...kununua ndege ni gharama kubwa sana. Na kuendesha shirika la ndege ni gharama kubwa vilevile.
..shirika letu la ndege linaendeshwa kwa HASARA hivi sasa na hali hiyo itaendelea kwa muda mrefu sana.
..Kwanini tujiingize kwenye biashara kichaa ya usafiri wa anga wakati yapo mashirika ya makubwa kama Emirates, Qatar, Ethiopia, yanayoweza kufanya biashara hiyo na sisi tukajikita kwenye biashara ambazo tuna competitive advantage nazo?
..Emirates anao uwezo wa kusafirisha matunda, madini, na bidhaa nyingine za Tanzania, kupeleka masoko mengi zaidi ukilinganisha na Atcl. We would be better off if we partnered with such corporation kuliko kutumia fedha zetu kiduchu kununua ndege ambazo zitatuingizia hasara mwaka hadi mwaka.
..Kuhusu watalii msimamo wangu ni huohuo. Hakuna tatizo la watalii kushindwa kufika Tanzania kiasi cha kulazimisha sisi kuwa na ndege zetu wenyewe. Tanzania kuwa na shirika la ndege maana yake tunajiingiza ktk gharama zisizo na ulazima. Our tourism was not suffering or struggling bcuz we did not own a national airline.
..Ununuzi wa ndege moja nadhani ni sawa na mauzo ya mwaka mzima wa baadhi ya mazao ya biashara hapa nchini.
..Uamuzi huo unatunyima fursa ya kuboresha mazao hayo kwa kuwekeza ktk research ya mbegu bora, ununuzi wa pembejeo, mafunzo kwa wakulima ili kuongeza mnyororo wa thamani, etc etc.
..Binafsi napendelea tuwekeze kwa wakulima, wafugaji, na wavuvi wa Tz, badala ya kufikiria kumiliki midege ya serikali.
Swala ni kujenga uwezo, tunaelekea kuwa na huo uwezo ndani ya muda mfupi ujao. Kila kitu kinaenda kwa hatua moja baada ya nyingine.Kwahiyo Air Tanzania inapeleka Bidhaa za watanzania nje kwa sasa? Ina ndege ya mizigo?