Kampuni ya Volvo yatangaza kutengeneza magari yasiyotumia mafuta, zama za mafuta zimekwisha

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Kampuni maarufu ya kutengeneza magari ya nchini Sweden inayojulikana kama [HASHTAG]#Volvo[/HASHTAG] imetangaza kuwa kuanzia sasa magari mapya watakayotengeneza hayatatumia mafuta ya petroli au dizeli bali umeme. Kampuni imesema zama za mafuta zimekwisha. Gari ya kwanza kutumia umeme tu itazinduliwa mwaka 2019

upload_2017-7-6_9-2-40.jpeg
 
Kampuni maarufu ya kutengeneza magari ya nchini Sweden inayojulikana kama [HASHTAG]#Volvo[/HASHTAG] imetangaza kuwa kuanzia sasa magari mapya watakayotengeneza hayatatumia mafuta ya petroli au dizeli bali umeme. Kampuni imesema zama za mafuta zimekwisha. Gari ya kwanza kutumia umeme tu itazinduliwa mwaka 2019

View attachment 536383
Mbona hizo gari zipo kitambo tu.
 
OIL ( mafuta)ndio bidha muhimu kuliko kitu chochote ktk ulimwengu huu wa sasa hakuna kitu kinacho weza kuwa MBADALA .
Hata wakina Kodak na pro photo waliamini wataendelea kuuza film mpaka mwisho wa dunia sasa teknolojia imewaumbua hamna anaye nunua mkanda anapiga picha tena

Hachana na dunia ya utandawazi inaweza kupatikana mbadala wa mafuta watu wote tukashagaa

Japo kua umeme bado haijawa mbadala sahihi haswa kwa dunia ya tatu umeme sio wa uhakika
 
Hata wakina Kodak na pro photo waliamini wataendelea kuuza film mpaka mwisho wa dunia sasa teknolojia imewaumbua hamna anaye nunua mkanda anapiga picha tena

Hachana na dunia ya utandawazi inaweza kupatikana mbadala wa mafuta watu wote tukashagaa

Japo kua umeme bado haijawa mbadala sahihi haswa kwa dunia ya tatu umeme sio wa uhakika
Inaweza .......kutokea siku moja techonolojia ikatuletea MBADALA wa CHAKULA tunacho kula wanaadam .
 
Hata wakina Kodak na pro photo waliamini wataendelea kuuza film mpaka mwisho wa dunia sasa teknolojia imewaumbua hamna anaye nunua mkanda anapiga picha tena

Hachana na dunia ya utandawazi inaweza kupatikana mbadala wa mafuta watu wote tukashagaa

Japo kua umeme bado haijawa mbadala sahihi haswa kwa dunia ya tatu umeme sio wa uhakika
Hakutaweza kupatikana mbadala wa mafuta kwa sababu mafuta hayatengenezwi ni sawa na kusema kutakua na mbadala wa dhahabu au tanzanite. Huo mfano wa Kodak haufanani kwa sababu Kodak na photos ni vitu vya kutengeneza.
 
Inaweza .......kutokea siku moja techonolojia ikatuletea MBADALA wa CHAKULA tunacho kula wanaadam .
Imeishatuletea mbona kuna watu wanakula vidonge tu vya supplements na si wagonjwa, vyakula synthesized vinapatikana North America. Mzungu mzungu tu!
 
Hata wakina Kodak na pro photo waliamini wataendelea kuuza film mpaka mwisho wa dunia sasa teknolojia imewaumbua hamna anaye nunua mkanda anapiga picha tena

Hachana na dunia ya utandawazi inaweza kupatikana mbadala wa mafuta watu wote tukashagaa

Japo kua umeme bado haijawa mbadala sahihi haswa kwa dunia ya tatu umeme sio wa uhakika
Ndugu yangu hata hiyo simu unayotumia au Computer unayo tumia inatokana na zao la Mafuta ndugu yangu ..zao la OIL linatoa bidhaa nyingi sn tukesema tuvitaje ni vingi sn . Hata hiyo ulisema kodak waliamin watauza film mpaka mwisho wa dunia lkn zao la mafuta limewaharibia soka lao .
 
Back
Top Bottom