Kampuni ya UDA-RT, yasitisha hudumuma ya mabasi ya mwendo kasi

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,491
54,884
Taarifa kwa umma

Kampuni ya UDA-RT inautaarifu umma kuwa huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, imesitisha huduma zake kati ya Kimara - Kivukoni, Kimara - Gerezani, Morroco - Kivukoni na Morroco - Gerezani kuanzia saa 10: 30 alfajiri leo Jumatatu Mei 12, 2019, kufuatia kujaa maji katika eneo la Jangwani. Huduma zinazotolewa sasa ni kati ya Kimara - Mbezi, Kimara - Magomeni Mapipa, Kimara - Morroco, Gerezani - Muhimbili, Kivukoni - Muhimbili na Gerezani - Kivukoni. Tunaendelea kufuatilia hali ya maji katika eneo husika, maji yakipungua huduma zitarejea katika hali ya kawaida. Tunaomba radhi kwa usumbufu unatokana na kusitishwa kwa safari hizo.

Deus Bugaywa
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano UDA-RT.

UPDATES: 0800HRS

Barabara ya Kinondoni kwenda Magomeni imefungwa, Magari yote hayapiti sababu bonde la Mkwajuni Maji yamejaa.
 
Taarifa kwa umma

Kampuni ya UDA-RT inautaarifu umma kuwa huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, imesitisha huduma zake kati ya Kimara - Kivukoni, Kimara - Gerezani, Morroco - Kivukoni na Morroco - Gerezani kuanzia saa 10: 30 alfajiri leo Jumatatu Mei 12, 2019, kufuatia kujaa maji katika eneo la Jangwani. Huduma zinazotolewa sasa ni kati ya Kimara - Mbezi, Kimara - Magomeni Mapipa, Kimara - Morroco, Gerezani - Muhimbili, Kivukoni - Muhimbili na Gerezani - Kivukoni. Tunaendelea kufuatilia hali ya maji katika eneo husika, maji yakipungua huduma zitarejea katika hali ya kawaida. Tunaomba radhi kwa usumbufu unatokana na kusitishwa kwa safari hizo.

Deus Bugaywa
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano UDA-RT.
Yaani wamepambana na watu wahame mabondeni, HALAFU WAO WAKAJENGA WALIPOHAMISHA WATU...
 
Taarifa kwa umma

Kampuni ya UDA-RT inautaarifu umma kuwa huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, imesitisha huduma zake kati ya Kimara - Kivukoni, Kimara - Gerezani, Morroco - Kivukoni na Morroco - Gerezani kuanzia saa 10: 30 alfajiri leo Jumatatu Mei 12, 2019, kufuatia kujaa maji katika eneo la Jangwani. Huduma zinazotolewa sasa ni kati ya Kimara - Mbezi, Kimara - Magomeni Mapipa, Kimara - Morroco, Gerezani - Muhimbili, Kivukoni - Muhimbili na Gerezani - Kivukoni. Tunaendelea kufuatilia hali ya maji katika eneo husika, maji yakipungua huduma zitarejea katika hali ya kawaida. Tunaomba radhi kwa usumbufu unatokana na kusitishwa kwa safari hizo.

Deus Bugaywa
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano UDA-RT.
Napendekeza,lile daraja li Fumuliwe (Kuvunjwa).
then mto na njia isafishwe afterthat ka,Mfugale ka kishkaji kangepita hapo.

Angalau kangekuwa hata na urefu wa 100Mita au 90mita
 
Bonde la mkwajuni na la msimbazi yamejaa maji.
Wameweka utepe kabisa kuzuia magari ya aina yoyote kupita jangwani na mkwajuni.

Mabosi muwavumilie wafanyajazi wenu leo.
 
Aliekuwa Waziri wa Ujenzi wakati wa Ujenzi huu angekuwa sio aliekuwepo angekula mvua nyingi sana za Matusi kutoka kwa kina Musiba, sema ndio hivyo Mola ndio mpangaji wa kila kitu!

Jk kapona Matusi ya kina Musiba ( Mwanaharakati huru) kuhusu Daraja la Jangwani maana aliekuwa Msaidiz wa Rais Wizara ya Ujenzi kwa sasa hatukaniki
 
Mpaka ataondoka madarakani hakuna hata mmoja atakayetumbuliwa kwenye Wizara ya Ujenzi na Tanroad..Kwa wenye akili timamu wanajua tunaongozwa na mtu wa aina gani
 
Taarifa kwa umma

Kampuni ya UDA-RT inautaarifu umma kuwa huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, imesitisha huduma zake kati ya Kimara - Kivukoni, Kimara - Gerezani, Morroco - Kivukoni na Morroco - Gerezani kuanzia saa 10: 30 alfajiri leo Jumatatu Mei 12, 2019, kufuatia kujaa maji katika eneo la Jangwani. Huduma zinazotolewa sasa ni kati ya Kimara - Mbezi, Kimara - Magomeni Mapipa, Kimara - Morroco, Gerezani - Muhimbili, Kivukoni - Muhimbili na Gerezani - Kivukoni. Tunaendelea kufuatilia hali ya maji katika eneo husika, maji yakipungua huduma zitarejea katika hali ya kawaida. Tunaomba radhi kwa usumbufu unatokana na kusitishwa kwa safari hizo.

Deus Bugaywa
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano UDA-RT.
wabunge "walio-hongwa" na kutudanganya wameunga mkono juhudi, naona sasa wametatua changamoto,
hongera sana MTULIA umeunga mkono juhudi za kutojengewa madara, umeunga mkono juhudi za maduka ya fedha kufungwa, viwanda kufungwa , tin number kila uchao zinarudishwa, juhudi za kuua mwendoakasi, juhudi za ccm kupora maeneo ya wazi.

HONGERA SANA MTULIA.

MBUNGE WA UKONGA WAKAZI WA KIVULE WANAKUSALIMIA SANA, WANASEMA CCM HYEE, wamepata daraja, barabara, wanawahi mjini mapema kabisa, ulinzi shrikishinhata ukiacha vitu nje hakuna kuibiwa, kumekuwa ama masaki, hongera samna mbunge wa ukonga, wewe unafaa.


halima mdee, wewe ni mpinzaninjimbo lako halina barabara kabisa, masaki, oysterbay, kawe, mbzi beach kuko hovyo kabisa, jifunze hata kwa wenzako huko vingunguti, mwananyamala kisiwane, popobawa, na kwengineko
 
Wala usiwasingizie... Kuna MTU HASHAURIKI HUKO...
Ina maana tumekosa watu wenye uwezo wa kushawishi asiye shahurika bado hatupo serious..Na je wakati inajengwa hawakupima madhara ya maji endapo mvua itanyesha na kipindi chote wanajenga mvua haikuwai kunyesha?
 
Fungeni vibwebwe tujenge ujamaa!!

Lyrics mujarabu


Mitusi ruksa.
 
maxresdefault.jpg
 
Back
Top Bottom