Kampuni ya simu imeniibia muda wa maongezi

fundimchundo

JF-Expert Member
Jul 23, 2010
616
904
Wafanyakazi wa kampuni ya simu wamehamisha salio kutoka kwenye simu yangu kwenda kwa watu nisiowajua bila mimi kujua wala bila kutumia simu yangu ya kiganjani. Haki yangu kisheria ni ipi?
 
Back
Top Bottom