Kampuni ya Microsoft inafanya mazungumzo ya kuinunua TikTok

Mkuu umewahi kutumia application programs za wachina? Wapi uliwahi kuona wanatumia apps zao kushambulia au kuingilia mambo ya ndani ya Mataifa mengine - wapi? Wapi uliwahi kusikia wachina waki-encourage raia wa mataifa ya kigine kupindua Serikali halali za mataifa mengine - just compare media za Uchina specifically international/satellite TV za uchina ulisikia wapi ziki-incite raia wa America, Uingereza na mataifa ya Ulaya kwamba wafanye maandamano ya kupinga Serikali zao - sasa angalia kinacho endelea kwenye MSM ya USA na UK mfano: CNN,FOXNEWS, MSCBC,Reuters, BBC, Al Jazeera - wanasema nini kuhusu Uchina(Communist party,Hong Kong, majimbo ya kislaam, Tibet na wapinzani),je, Iran na North Korea nk - media za USA zimejaa propaganda tupu na stori za kutunga tu?

Tangu lini China ikajiingiza kwenye masuala ya ku-arm terrorist/insurgents na ku-fund ujinga huo,kutumia covert/overt modus operandi hata ku-assassinate viongozi wa Mataifa ambayo hawayapendi, mfano: Lumumba, Nassar, Nkrumah, Dang Hammershold, Saddam Hussein, Gaddafi, Mossadeq, Samora Marcel etc.

Haya tuje sasa kwenye madai ya kijinga ya kusema eti telecom equipment za Huawei 5G technology zimewekewa programs za kudukua mafaili ya watumiaji, madai hayo ni uzushi mtupu - kwanza Huawei ilisema kwamba hipo tayari kuipatia Serikali yoyote yenye mashaka ili ichunguze kwa kina programs code zinazo tumiwa na Huawei kwenye products zao zote, cha ajabu Vocal America Admnistration walikaa kimya bila ya kujibu kitu, lakini Ujerumani na Uingereza walipewa code za Huawei wakazichunguza kwa kina na kubaini hakuna subroutine programs za kufanya udukuzi of any form or shape, which means madai ya Marekani ni uongo mtupu wenye lengo la kuwaribia Huawei biashara, leo hii wanaivamia Tik Tok eti nayo inahusika katika udukuzi wa mafaili ya watumiaji, ulaghai mtupu - watadukuaje mafaili ya Tik Tok ya watumiaji wa Amerika ambayo yana hifadhiwa kwenye servers ambazo zipo huko huko America?? Taifa kubwa kama USA hivi sasa limeanza kuonyesha traits za kuchanganyikiwa.
Kwa mfano mimi natumia tiktok,unafikiri nina utaalamu gani kwa kujua kwamba hii app imewekwa spyware kunichunguza mimi?.Hilo unaniuliza as if ni kitu chepesi kama kunywa chai...Achana na mambo ya sijui kupindua serikali,thats the exploitation strategy ambayo kila nchi yenye nguvu inayo,hata wachina wana exploitation strategy dhidi ya nchi changa,ambayo i am sure unaijua.
Twende kwenye ku ban app,.Pale mwanzo nlikuuliza kwamba,china wali ban app za marekani kama Whatsapp,facebook,na search engine kama google na yahoo ziwe controlled na wachina wenyewe,tena wali ban kwa sababu zile zile kama za marekani,we unafikiri wachina nao waliogopa ushindani?au ni security issues,na kama ndio,kwa nini wachina wakifanya hujuma uwaamini wako sahihi,ila wamarekani unaleta shutuma kwamba wanaogopa ushindani..
5G Technology ni mambo ya power and dominance,nchi kama marekani haiwezi kukubali eti network iwe controlled na nchi nyingine tena wenye mrengo tofauiti na wao.Unajua threat ya 5G kwa super power kama marekani ni ipi?.Millitary comunications,national grid,financial system,industrial robots,self driving cars na vyote vitavyokuwa connected na 5G network vitakuwa viko kwenye hatari ya kuwa disabled iwapo China wataamua kuleta hujuma kwenye 5G Network.Kumbuka aliyeunga 5G ndio mwenye anajua siri gani amezxiweka na ni jinsi gani unaweza cut off network yote.Assume ni wakati wa vita,nani ataadhirika hapo?.We unafikiri wachina hawajui threat ya kutumia 4G network ya magharibi?.Aisee haya mambo hayapo kishabiki kama tunavyoyatizama,Sio kila hatua marekani anachukua eti ni mbaya tu siku zote.CIA NSA,USCiber security Command.Wote walishatoa report zao na wakaona threat ya ku adopt 5G ambayo sio ya kimarekani.Sasa mimi na wewe tukakomaa kusema eti hata hao NSA,CIA hawajui kitu,sisi ndio tunafahamu.BTW 5G network haijawa banned US peke yake Hata UK,India,Australia na baadhi ya nchi za ulawa wako kwenye mpango wa kususpend ushirikiano na HUawei 5G,it means they saw something fishy.Wachina huwa wakifanya ciber attack marekani huwa mnashangilia sana,leo wanatake measures mnalalamika,tupunguze emotions tucheki facts.
Nasisitiza tena,the same reason ambazo China walitumia ku ban american social networks ndio hizo hizo Marekani wanatumia ku Ban apps za kichina pamoja na mambo mangine.so tuvumiliane tu na tupunguze mihemko.
 
usa COWARD.
U dont know wht it takes to run the country kama USA.Tunakuwa wepesi tu kutukana ila cyber security sio kitu cha kuchukulia poa kiivyo.
Hivi unajua app inaweza kuwekwa spyware inayoweza ku spy aina fulani tu ya simu?.Unafikiri wachina hawajui kwamba US officials wanatumia simu za mamna gani?..Wwe na kitecno chako nani ana shida na wewe,.Ndio maana marekani walipiga kwanza marufuku US officials ku download tiktok,unafikiri hawajui?..Bob mambo sio marahisi ivyo aisee :D
 
Bana bana hebu nisaidie tu wewe,yaani kuna watu wanafikiri kila kinachofanywa na marekani ni kosa,wanasahau ile ni nchi kama ilivyo yetu,wana security issue zao hawataki ziwe compromised.Itakuwa nchi gani inaruhusu kila uchafu utumike kisa uhuru..Nonsense kabisa.
Wengi hawajui Google wana kazi ya kufuta apps playstore 50 mpaka 100 kwa kila musa mfupi na nyingi sana kati ya hizo zinatokea China.

Tatizo wengi wanaleta ushabiki wa simba na Yanga badala ya kuangalia facts
 
Wengi hawajui Google wana kazi ya kufuta apps playstore 50 mpaka 100 kwa kila musa mfupi na nyingi sana kati ya hizo zinatokea China.

Tatizo wengi wanaleta ushabiki wa simba na Yanga badala ya kuangalia facts
Jamaaa anasema wanaogopa ushindani tenaa anaongea kwa hasira kweli..Yaani wachina wawawekee spyware kwenye tiktok eti wakae kimya kisa wanaogopa ushindani?.Itakuwa nchi ya hovyo sana aisee...Humu kuna kale kaugonjwa ka kuwaskiliza kila china wanasema hata propaganda kisa tu wanaichukia marekani,Hwaangali facts na common sense tena. :D :D..Tena li Trump lishasema mwisho 15 Sept,either wauze US ARM tiktok kwa kampuni ya US au waifute kabisa isitumike USA.Wachina walizoea wastaarabu kina Obama,sasa wamekutana na kichwa mbofu Trump :D :D .
 
Tangu nisikie waafrika wenzangu wanateseka uchinani siwapagi sapoti yangu.
south afrika je unawapaga ?!

waafrika kwanza muache kubaguana wenyewe
pili mutengeneze maisha mazuri huko kwetu ili tusiende huku kwawatu
tatu muache kuwa tegemezi kwawazungu

mwisho:-muache ubinafsi.
 
Kwa mfano mimi natumia tiktok,unafikiri nina utaalamu gani kwa kujua kwamba hii app imewekwa spyware kunichunguza mimi?.Hilo unaniuliza as if ni kitu chepesi kama kunywa chai...Achana na mambo ya sijui kupindua serikali,thats the exploitation strategy ambayo kila nchi yenye nguvu inayo,hata wachina wana exploitation strategy dhidi ya nchi changa,ambayo i am sure unaijua.
Twende kwenye ku ban app,.Pale mwanzo nlikuuliza kwamba,china wali ban app za marekani kama Whatsapp,facebook,na search engine kama google na yahoo ziwe controlled na wachina wenyewe,tena wali ban kwa sababu zile zile kama za marekani,we unafikiri wachina nao waliogopa ushindani?au ni security issues,na kama ndio,kwa nini wachina wakifanya hujuma uwaamini wako sahihi,ila wamarekani unaleta shutuma kwamba wanaogopa ushindani..
5G Technology ni mambo ya power and dominance,nchi kama marekani haiwezi kukubali eti network iwe controlled na nchi nyingine tena wenye mrengo tofauiti na wao.Unajua threat ya 5G kwa super power kama marekani ni ipi?.Millitary comunications,national grid,financial system,industrial robots,self driving cars na vyote vitavyokuwa connected na 5G network vitakuwa viko kwenye hatari ya kuwa disabled iwapo China wataamua kuleta hujuma kwenye 5G Network.Kumbuka aliyeunga 5G ndio mwenye anajua siri gani amezxiweka na ni jinsi gani unaweza cut off network yote.Assume ni wakati wa vita,nani ataadhirika hapo?.We unafikiri wachina hawajui threat ya kutumia 4G network ya magharibi?.Aisee haya mambo hayapo kishabiki kama tunavyoyatizama,Sio kila hatua marekani anachukua eti ni mbaya tu siku zote.CIA NSA,USCiber security Command.Wote walishatoa report zao na wakaona threat ya ku adopt 5G ambayo sio ya kimarekani.Sasa mimi na wewe tukakomaa kusema eti hata hao NSA,CIA hawajui kitu,sisi ndio tunafahamu.BTW 5G network haijawa banned US peke yake Hata UK,India,Australia na baadhi ya nchi za ulawa wako kwenye mpango wa kususpend ushirikiano na HUawei 5G,it means they saw something fishy.Wachina huwa wakifanya ciber attack marekani huwa mnashangilia sana,leo wanatake measures mnalalamika,tupunguze emotions tucheki facts.
Nasisitiza tena,the same reason ambazo China walitumia ku ban american social networks ndio hizo hizo Marekani wanatumia ku Ban apps za kichina pamoja na mambo mangine.so tuvumiliane tu na tupunguze mihemko.
kwamara yakwanza nahisi nimelike mchango wako
ila tatizo tunalolipingwa kwa US sio kufanya kama afanyavyo UCHINA ila tunapinga ule ubabe wake wakuyalazmisha mataifa mengine yafuate anayoyataka yeye

ila nimekuelewa sana sana sana MKUU.
 
U dont know wht it takes to run the country kama USA.Tunakuwa wepesi tu kutukana ila cyber security sio kitu cha kuchukulia poa kiivyo.
Hivi unajua app inaweza kuwekwa spyware inayoweza ku spy aina fulani tu ya simu?.Unafikiri wachina hawajui kwamba US officials wanatumia simu za mamna gani?..Wwe na kitecno chako nani ana shida na wewe,.Ndio maana marekani walipiga kwanza marufuku US officials ku download tiktok,unafikiri hawajui?..Bob mambo sio marahisi ivyo aisee :D
Kwahio kabla hawajazipiga marufuku zilikua haziwadukui ?!.
 
Jamaaa anasema wanaogopa ushindani tenaa anaongea kwa hasira kweli..Yaani wachina wawawekee spyware kwenye tiktok eti wakae kimya kisa wanaogopa ushindani?.Itakuwa nchi ya hovyo sana aisee...Humu kuna kale kaugonjwa ka kuwaskiliza kila china wanasema hata propaganda kisa tu wanaichukia marekani,Hwaangali facts na common sense tena. :D :D..Tena li Trump lishasema mwisho 15 Sept,either wauze US ARM tiktok kwa kampuni ya US au waifute kabisa isitumike USA.Wachina walizoea wastaarabu kina Obama,sasa wamekutana na kichwa mbofu Trump :D :D .
Huyo kichwa mbovu mpaka akijakutoka madarakani 2020s huko mtakua mnaelewa kwanini tulikua tunatamani aendelee kuongoza tu
 
Huyo kichwa mbovu mpaka akijakutoka madarakani 2020s huko mtakua mnaelewa kwanini tulikua tunatamani aendelee kuongoza tu
Punguza kutazama kidogo CNN :D :D ,.FYI USA inaendeshwa na institutions na outstanding policies,sio kama manchi yenu ya kikomunist yanategemea akili ya mtu mmoja.,
 
kwamara yakwanza nahisi nimelike mchango wako
ila tatizo tunalolipingwa kwa US sio kufanya kama afanyavyo UCHINA ila tunapinga ule ubabe wake wakuyalazmisha mataifa mengine yafuate anayoyataka yeye

ila nimekuelewa sana sana sana MKUU.
:D :D :D :D ,iti kwa mara ya kwanza..thank btw
Ubabe ni caliber ya binaadamu,hata zile sarakasi za Iran na Israel unaziona kila siku pale middle east,wote wanapigania ni nani atakuwa mbabe pale middle east..Kuna siku china atakuja kuwa number one super power,utaamini maneno yangu kama utakuwepo,kwamba nguvu huendana na ubabe,hivi vitu huwa havitengani.huwezi kuwa super power ukawa urojo urojo tu,unaikumbuka USSR ilivyokuwa?:D:D
 
south afrika je unawapaga ?!

waafrika kwanza muache kubaguana wenyewe
pili mutengeneze maisha mazuri huko kwetu ili tusiende huku kwawatu
tatu muache kuwa tegemezi kwawazungu

mwisho:-muache ubinafsi.
Sawa mchina nmekuelewa ila kilichofanyika south baada ya upuuzi wao nahisi ujakisikia sababu upo mbali na Afrika, ubinafsi ni mtego wa Afrika unaofanya tusiendelee ilo ni sahihi kabisa na npo pamoja na ww kweny ilo ila halihusiani na kubaguliwa na nchi nyingine, USA ana mapungufu yake makubwa ila haifanyi mchina kuwa msafi naye kwenye yake aambiwe.
 
Huyo kichwa mbovu mpaka akijakutoka madarakani 2020s huko mtakua mnaelewa kwanini tulikua tunatamani aendelee kuongoza tu
Ni kwel Kuna mambo ambayo anafanya kwa manufaa ya taasis anayoiongoza lkn mengine anakurupuka mno km swala la Iran mpaka bunge likampiga pini,ishu ya korona alikua mzito kufanya maamuz na hata alipofanya akajikuta anapingana na viongoz wa majimbo na ishu ya polisi kuua raia baada ya kutoa kauli za kupoza maandamano yy akatoa kauli za kibabe Kia's cha kuongeza mvutano.
 
... ikishanunuliwa na MS itaendelea kukubalika China? Itaanza kukubalika US? Why?
unajua wamarekani wakubaliane tu yule jamaa mmhh analopoka sana tatizo..shida ipo palee..kila kitu kwake ni hoja
 
Ni kwel Kuna mambo ambayo anafanya kwa manufaa ya taasis anayoiongoza lkn mengine anakurupuka mno km swala la Iran mpaka bunge likampiga pini,ishu ya korona alikua mzito kufanya maamuz na hata alipofanya akajikuta anapingana na viongoz wa majimbo na ishu ya polisi kuua raia baada ya kutoa kauli za kupoza maandamano yy akatoa kauli za kibabe Kia's cha kuongeza mvutano.
bangi anazovuta mmhh tusimlaumu jamani
 
sasahivi tulipofika ukiwa na mtandao wako unataka kuanzisha uhakikishe unaenda kwanza usa kuchukua kibali cha biashara maaan kwao kila kitu kibaya..yaani trump yuko tofauti sana na obama ..Obama aliongoza nchivyema sana sijui huyu kaja na nani mjini hapa
 
Back
Top Bottom