Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Kampuni ya madini ya Tanzanite One imekubali kuilipa Serikali fidia pamoja na kodi watakayokubaliana kutokana na dosari zilizojitokeza hapo awali na kuiletea Serikali hasara
Pia imekubali kulipa tozo nyingize zote inazodaiwa na Serikali
Makubaliano hayo yametiwa saini na Mwenyekiti wa Kamati ya Madini iliyoundwa na Rais Magufuli, Prof. Palamagamba Kabudi na Mkurugenzi wa Tanzanite One Faisal Juma
Pia imekubali kulipa tozo nyingize zote inazodaiwa na Serikali
Makubaliano hayo yametiwa saini na Mwenyekiti wa Kamati ya Madini iliyoundwa na Rais Magufuli, Prof. Palamagamba Kabudi na Mkurugenzi wa Tanzanite One Faisal Juma