BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Waungwana,
Kuna kampuni ya Tanzania ilitangaza kwamba inakaribia kuanza kutoa mikopo ya nyumba za bei nafuu na bei mbaya. Kama kuna yeyote anayejua namba zao za simu, web site au email address basi naomba anipeperushie. Bahati mbaya sikumbuki jina lao.
Kuna kampuni ya Tanzania ilitangaza kwamba inakaribia kuanza kutoa mikopo ya nyumba za bei nafuu na bei mbaya. Kama kuna yeyote anayejua namba zao za simu, web site au email address basi naomba anipeperushie. Bahati mbaya sikumbuki jina lao.