Kampuni ya Kenya yapata deal kubwa sana Botswana nchi ya SADC

Macho yako yanashida gani?, soma post yangu #39.
Wewe acha upoyoyo wako hapa, onyesha ni mradi upi wenye thamani ya $1B Kenya mliojenga kwa pesa ya ndani?. Huu upumbavu wenu wa kusema mnakusanya pesa nyingi lakini hakuna kinachoonekana hizo pesa zinaenda wapi zaidi ya kugawana salaries na zingine kuishia katika mifuko ya Rotich, Waititu na MKE wake utaendelea kubaki ndani ya vichwa vyenu.

Tafadhali onyesha ni mradi gani mkubwa wa zaidi ya $1B ambao mumeutekekeza bila kuomba wachina.
1) SGR; Dar to Makutopira $3.1B
2)Rufiji hydroelectric dam $3B
3)8 New planes $1.2B
4)Longest bridge on Lake Victoria $$350M
Hii ni baadhi tu ya miradi inayotekelezwa kwa pesa ya ndani, Kenya haiwezi hata kukarabati reli ya zamani, imeomba mkopo, stupid kabisa ninyi.

Wewe onyesha mradi mmoja ambao serikali yenu inatekekeza kwa pesa zenu wenyewe thamani inayozidi mradi wowote kati ya hiyo niliyokuwekea.

Tafadhali onyesha ni mradi gani mkubwa wa zaidi ya $1B ambao mumeutekekeza bila kuomba wachina.
1) SGR; Dar to Makutopira $3.1B <<< Phase 1 Haijakamilika, Phase 2 haijafika hata 1%
2)Rufiji hydroelectric dam $3B <<< Ujenzi haujaanza
3)8 New planes $1.2B <<< Bought over a period of several years, na si ndege zote zimefika
4)Longest bridge on Lake Victoria $$350M <<< Ujenzi haujaanza!!



-------------------

Kwa kifupi hauna tofauti na mtoto anaecheza na wenzake alafu anaanza kuchora kwa mchanga eti ako na nyumba na magari na mandege, alafu mtoto mwengine naye anaanza kuchora meli na vifaru, wanabaki kushindana nani ako na mali nyingi........
 
Back
Top Bottom