Udongo ni nchi.Hata kama ni waste wacha tubakia nao wenyewe.Kuliko wao kuusafirisha kuupeleka kwao.Tutautumia hata kufukia vifusi kwenye barabara zetu hata kama utakuwa hauna dhahabu.Cha msingi ubaki nchini kwetu hapo hapo maeneo yaliyoko machimbo.Tutautumia hata kufukia mashimo ya dhahabu waliyoaacha wazi baada ya uchimbaji.Tunautaka udongo wetu wa Magwangwala uwe na dhahabu au la.
Sasa povu la nini Mkuu. Walisafirisha kwasababu waliruhusiwa na serikali hiyohiyo iliyo chini ya chama kilichomteua Magufuli kuwa na nguvu ya kuja kuwazuia kusafirisha huo udongo. Wamekubali. It seems to be a win-win situation. Tuwapongeze kwa busara yao, tumpongeze pia Magufuli kwa busara yake ktk kuliweka hili sawa. Hakuna sababu ya kutoa kauli za kishabiki zenye mwelekeo wa kuwafanya wawekezaji waonekane kama wakoloni waliovamia nchi kwa nguvu.