Kampuni ya Geita Gold Mine yasalimu amri ya Magufuli, yaanza kugawa magangwala, wananchi wahofia

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
Mabaki ya mawe ya dhahabu yanayofahamika kama magangwala yatakuwa yanapewa kwa wananchi kuanzia sasa, hili linafuatia agizo la Magufuli alilolitoa akiwa huko Geita ambapo alitoa wiki tatu wananchi hao wawe wamepewa mabaki hayo, lakini wananchi wamehofia kuwa watakuwa wanapewa mabaki hewa

 
Mabaki ya mawe ya dhahabu yanayofahamika kama magangwala yatkuwa yanapewa kwa wananchi kuanzia sasa, hili linafuatia agizo la Magufuli alilolitoa akiwa huko Geita ambapo alitoa wiki tatu wananchi hao wapewa mabaki hayo, lakini wananchi wamehofia kuwa watakuwa wanapewa mabaki hewa

Magufuli kiboko keshadhibiti ule mchanga (Magwangala) waliyokuwa wakisafirisha nje makotainer na mkontainer kupitia bandari ya Tanga kwa kisingizio kuwa ni magwangala ambayo hayana kitu wakati kumejaa dhahabu kibao wanaenda kuupepeta huo mchanga na nyungo za kizungu wanapata dhahabu.

Magufuli anadhibiti dhahabu hadi magwangala.Safi sana
 
Magufuli kiboko keshadhibiti ule mchanga (Magwangala) waliyokuwa wakisafirisha nje makotainer na mkontainer kupitia bandari ya Tanga kwa kisingizio kuwa ni magwangala ambayo hayana kitu wakati kumejaa dhahabu kibao wanaenda kuupepeta huo mchanga na nyungo za kizungu wanapata dhahabu.

Magufuli anadhibiti dhahabu hadi magwangala.Safi sana
Hujui chochote we kaa kimya...nani alikudanganya kuwa mchanga unaosafirishwa kwenda nje ni magwangala???hv Lumumba nani kawaloga mbona kama hamuelewekieleweki...kwa nn usijipe muda wa kufanya utafiti kuhusu huo mchanga kabla ya kuja bubwatukabwatuka mambo usiyoyajua hapa...ovyo Kabisa...
 
No matter how we sugar coat it, hayo magwangala is just waste.No investor worth their salt atakubali tu kuwapa hayo mabaki without making sure kwamba what you are going to get out of it is little to none.

Kwasababu it doesn't make sense, yeye aje ainvest halafu eti tugawane udongo which supposedly una madini.Tutakuwa tunadanganyana tu.
 
No matter how we sugar coat it, hayo magangwala is just waste.No investor worth their sort salt atakubali tu kuwapa hayo mabaki without making sure kwamba what you are going to get out of it is little to none.

Kwasababu it doesn't make sense, yeye aje ainvest halafu eti tugawane udongo which supposedly una madini.Tutakuwa tunadanganyana tu.

Udongo ni nchi.Hata kama ni waste wacha tubakia nao wenyewe.Kuliko wao kuusafirisha kuupeleka kwao.Tutautumia hata kufukia vifusi kwenye barabara zetu hata kama utakuwa hauna dhahabu.Cha msingi ubaki nchini kwetu hapo hapo maeneo yaliyoko machimbo.Tutautumia hata kufukia mashimo ya dhahabu waliyoaacha wazi baada ya uchimbaji.Tunautaka udongo wetu wa Magwangwala uwe na dhahabu au la.
 
No matter how we sugar coat it, hayo magangwala is just waste.No investor worth their sort salt atakubali tu kuwapa huo udongo without making sure kwamba what you are going to get out of it is little to none.

Kwasababu it doesn't make sense, yeye aje ainvest halafu eti tugawane udongo which supposedly una madini.Tutakuwa tunadanganyana tu.
Mkuu umeongea vzuri sana...hata Muhongo mwenyewe analijua hilo kuwa kitakachokuwa kinatolewa na mgodi ni waste ila anashindwa atakataaje kutekeleza amri ya rais...nina uhakika hzo waste zitakuwa na below 1ppm Au....kitu ambacho kwa kutumia mercury huwezi recover chochote.

Hzo low grade ore ambazo ndo kimsingi wasukuma wanaita magwangala hawawezi kupewa kamwe....wenye mgodi wanachofanya huwa wanapile hzo lowa grade wanasubiri bei ya dhahabu ikipanda ndo wanayaprocess....mwekezaji gani ambaye anaweza eti kutoa ore ambayo ni 2ppm Au bure....thubutuuuuuu
 
Mkuu umeongea vzuri sana...hata Muhongo mwenyewe analijua hilo kuwa kitakachokuwa kinatolewa na mgodi ni waste ila anashindwa atakataaje kutekeleza amri ya rais...nina uhakika hzo waste zitakuwa na below 1ppm Au....kitu ambacho kwa kutumia mercury huwezi recover chochote.

Hzo low grade ore ambazo ndo kimsingi wasukuma wanaita magwangala hawawezi kupewa kamwe....wenye mgodi wanachofanya huwa wanapile hzo lowa grade wanasubiri bei ya dhahabu ikipanda ndo wanayaprocess....mwekezaji gani ambaye anaweza eti kutoa ore ambayo ni 2ppm Au bure....thubutuuuuuu

Hapa rais anafanya tu wananchi wake wawe scavengers.
 
Afadhali wananchi watanzania wawe scavengers kwenye huo udongo kuliko usafirishwe nje wazungu ndio wakawe ma scavengers kwenye huo mchanga ukimwagwa kwenye nchi zao baada ya kusafirishwa
Acha kuongea vitu usivovijua wewe....GGM hawasafirishi mchanga kwenda nje...mchanga unaosafirishwa kwenda nje ni Kutoka buly...na kuna sababu ya kusafirishwa na nadhani hata kwenye mkataba kutakuwa na kipengele kinachowaruhusu kusafirisha huo udongo...siwezi kukuelezea sababu inayofanya wasafirishe huo mchanga kwani Nina uhakika 100% utatoka kapa...
 
Mkuu umeongea vzuri sana...hata Muhongo mwenyewe analijua hilo kuwa kitakachokuwa kinatolewa na mgodi ni waste ila anashindwa atakataaje kutekeleza amri ya rais...nina uhakika hzo waste zitakuwa na below 1ppm Au....kitu ambacho kwa kutumia mercury huwezi recover chochote.

Hzo low grade ore ambazo ndo kimsingi wasukuma wanaita magwangala hawawezi kupewa kamwe....wenye mgodi wanachofanya huwa wanapile hzo lowa grade wanasubiri bei ya dhahabu ikipanda ndo wanayaprocess....mwekezaji gani ambaye anaweza eti kutoa ore ambayo ni 2ppm Au bure....thubutuuuuuu


Kwa hiyo ulitakaje? Yaani ulitaka nini kifanyike badala yake labda?
 
Magufuli kiboko keshadhibiti ule mchanga (Magwangala) waliyokuwa wakisafirisha nje makotainer na mkontainer kupitia bandari ya Tanga kwa kisingizio kuwa ni magwangala ambayo hayana kitu wakati kumejaa dhahabu kibao wanaenda kuupepeta huo mchanga na nyungo za kizungu wanapata dhahabu.

Magufuli anadhibiti dhahabu hadi magwangala.Safi sana
Good move, ila wananchi hawana teknolojia ya kuvuna hayo madine efficiently, angecheki utaratibu mitambo ya kisasa ya kuvuna hayo madini
 
Kwa hiyo ulitakaje? Yaani ulitaka nini kifanyike badala yake labda?
Nn kifanyike???kwani wakati tunaingia mkataba na Anglo Ashanti kwa wakati huo tulikuwa tumepeleka Wapi akili Zetu??...mm nadhani ungemuuliza waziri wa Madini wa wakati huo kwa nn kwenye mkataba hawakuweka kipengele cha jinsi wananchi wa eneo husika watakavonufaika na uchimbaji...au mshauri rais wako apitie upya mikataba ya Madini...ila hili la magwangala Sijui...hamna kitu watakachopata kwenye hayo magwangala (waste)
 
Bawacha na Lissu wao chaliii.. Oooh oooh.. Nilisema Lissu hajui nini kilichopo kwenye hiyo mikataba...
 
Good move, ila wananchi hawana teknolojia ya kuvuna hayo madini efficiently, angecheki utaratibu mitambo ya kisasa ya kuvuna hayo madini

Mkuu siku zote wachimbaji waliokuwa wakisafirisha mchanga nje walikuwa wakisingizia kuwa teknolojia ya kuuchuja hadi upatikane dhahabu nchini haipo hivyo wanapeleka kwao,wakiambiwa wekeni basi hiyo mitambo nchini hapa hapa wanavuta miguu hawataki wanataka tu kuendelea kubeba kupeleka nje hayo magwangala.Sasa ni heri tu ubaki hapa hapa nchini hiyo teknolojia itatafutwa baadaye cha msingi kwanza ubakie huo udongo nchini.
 
Hapa rais anafanya tu wananchi wake wawe scavengers.
Wananchi ndio walimuomba Rais awasaidie ili waweze kupewa magwangala.
Wewe unakuja na hoja ya scavengers. Ulitaka Rais akatae ombi la wananchi kwa sababu watakuwa scavengers?

Nadhani hufahamu vizuri hata kinachoendelea katika maeneo hayo!
 
Naona kuna wanaosema huo mchanga hauna kitu, kwamba ni waste tu hauna thamani.

Sasa kwa nyie mnaojua mtujuze kama huo mchanga ni waste hauna thamani kwa nini wausafirishe mpaka ulaya?
 
Nasema safi,ila rais angepitia upya hii mikataba yote ya karl peter ili nchi nayo inufaike wanazidi kujitajirisha nchi ikiwa hoi!!
 
Mkuu siku zote wachimbaji waliokuwa wakisafirisha mchanga nje walikuwa wakisingizia kuwa teknolojia ya kuuchuja hadi upatikane dhahabu nchini haipo hivyo wanapeleka kwao,wakiambiwa wekeni basi hiyo mitambo nchini hapa hapa wanavuta miguu hawataki wanataka tu kuendelea kubeba kupeleka nje hayo magwangala.Sasa ni heri tu ubaki hapa hapa nchini hiyo teknolojia itatafutwa baadaye cha msingi kwanza ubakie huo udongo nchini.
kuna mpango wa kuleta hiyo mitambo soon?
 
Back
Top Bottom