Kampuni ya Gardaworld imetangaza nafasi za kazi kwa madereva

Prince Mhando

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
9,575
12,057
Ndugu madereva leo nimewaletea hii fursa

GARDAWORLD ni kampuni iliyopo ndani ya kampuni ya ulinzi iliyokuwa inafaamika kwa jina la K.K security.

Kampuni hii ya ulinzi ni miongoni mwa kampuni kubwa zinazotoa mshahala angalau kidogo kuna kaunafuu, maana NSSF inazingatiwa na mafao mengineo kwa ujumla kwa vijana ambao wanaanza maisha kampuni hii iwe kimbilio lenu la kwanza.

Kampuni hii ya gardaworld imetangaza nafasi za kazi kwa upande wa madereva

sifa
client-portal-hero.jpg

1. leseni kuanzia daraja E....
2. uwe na elimu ya kidato cha nne
3. ujue lugha ya kingereza.
4. uwe na uzoefu angalau mika 3 bila kusababisha ajali

Governance-people.jpg

ofisi za gardaworld kwa dar-es-salaam zinapatikana pale kwa mwinyi...mikocheni B, ukiwa unatokea kawe kituo ni hicho hicho kwa mwinyi...ata ukiwa unatokea moroko ukiwa unaenda kawe utashuka hapo hapo kwa mwinyi.

kupata kazi hiyo hakuitaji rushwa ya aina yoyote ni vigezo tu vitakavyo sababisha upate...karibu sana Gardaworld

{angalizo mimi sio meneja muajiri wala sina uhusiano na msaada wowote wa kukusaidia upate kazi hiyo hivyo fuata tangazo lilivyoelekeza....na ukifanikiwa kupata ni busara zaidi kuja kutoa mrejesho hapa}
 
Ndugu madereva leo nimewaletea hii fursa

GARDAWORLD ni kampuni iliyopo ndani ya kampuni ya ulinzi iliyokuwa inafaamika kwa jina la K.K security.
kampuni hii ya ulinzi ni miongoni mwa kampuni kubwa zinazotoa mshahala angalau kidogo kuna kaunafuu, maana NSSF inazingatiwa na mafao mengineo kwa ujumla kwa vijana ambao wanaanza maisha kampuni hii iwe kimbilio lenu la kwanza....

kampuni hii ya gardaworld imetangaza nafasi za kazi kwa upande wa madereva
sifa
client-portal-hero.jpg

1. leseni kuanzia daraja E....
2. uwe na elimu ya kidato cha nne
3.ujue lugha ya kingereza.
4.uwe na uzoefu angalau mika 3 bila kusababisha ajali
Governance-people.jpg

ofisi za gardaworld kwa dar-es-salaam zinapatikana pale kwa mwinyi...mikocheni B, ukiwa unatokea kawe kituo ni hicho hicho kwa mwinyi...ata ukiwa unatokea moroko ukiwa unaenda kawe utashuka hapo hapo kwa mwinyi....

kupata kazi hiyo hakuitaji rushwa ya aina yoyote ni vigezo tu vitakavyo sababisha upate...karibu sana Gardaworld

{angalizo mimi sio meneja muajiri wala sina uhusiano na msaada wowote wa kukusaidia upate kazi hiyo hivyo fuata tangazo lilivyoelekeza....na ukifanikiwa kupata ni busara zaidi kuja kutoa mrejesho hapa}
Deadline lini?
 
Back
Top Bottom