X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,647
- 12,216
- Thread starter
- #21
tusiishi kwa maneno ya kusikia...tujikite kwenye kazi...Hata hiyo GARDA nayo nasikia inauzwa
tusiishi kwa maneno ya kusikia...tujikite kwenye kazi...Hata hiyo GARDA nayo nasikia inauzwa
haiuzwi nazani muda sio mrefu wataungana na garda..kutakuwa na muunganiko wa pia wa SGA...kujiunga na garda kampuni pekee itakayo kuwa inaoneana ni GARDAWORLD...na sio kwamba wanauziana kampuni..nop...bali ni muunganiko tu wa kibiashara ambao utendaji na mikataba ya kila kampuni unabaki vile vileG4S ndiyo inauzwa
kweliJambo jema
Ubarikiwe sana kiongozi,Huu ndio utofauti wa Jamii forum na social media zingineNdugu madereva leo nimewaletea hii fursa
GARDAWORLD ni kampuni iliyopo ndani ya kampuni ya ulinzi iliyokuwa inafaamika kwa jina la K.K security.
kampuni hii ya ulinzi ni miongoni mwa kampuni kubwa zinazotoa mshahala angalau kidogo kuna kaunafuu, maana NSSF inazingatiwa na mafao mengineo kwa ujumla kwa vijana ambao wanaanza maisha kampuni hii iwe kimbilio lenu la kwanza....
kampuni hii ya gardaworld imetangaza nafasi za kazi kwa upande wa madereva
sifa
1. leseni kuanzia daraja E....
2. uwe na elimu ya kidato cha nne
3.ujue lugha ya kingereza.
4.uwe na uzoefu angalau mika 3 bila kusababisha ajali
ofisi za gardaworld kwa dar-es-salaam zinapatikana pale kwa mwinyi...mikocheni B, ukiwa unatokea kawe kituo ni hicho hicho kwa mwinyi...ata ukiwa unatokea moroko ukiwa unaenda kawe utashuka hapo hapo kwa mwinyi....
kupata kazi hiyo hakuitaji rushwa ya aina yoyote ni vigezo tu vitakavyo sababisha upate...karibu sana Gardaworld
{angalizo mimi sio meneja muajiri wala sina uhusiano na msaada wowote wa kukusaidia upate kazi hiyo hivyo fuata tangazo lilivyoelekeza....na ukifanikiwa kupata ni busara zaidi kuja kutoa mrejesho hapa}
Inamaana vitendea kazi vinakua na lebal gani?haiuzwi nazani muda sio mrefu wataungana na garda..kutakuwa na muunganiko wa pia wa SGA...kujiunga na garda kampuni pekee itakayo kuwa inaoneana ni GARDAWORLD...na sio kwamba wanauziana kampuni..nop...bali ni muunganiko tu wa kibiashara ambao utendaji na mikataba ya kila kampuni unabaki vile vile
Kabisa mkuuHizi kampuni zinakuja kwa kasi sana na kunyima kampuni za ndani tender za ulinzi, serikali iangalie kwa jicho la tatu mishaara huko ni midogo ili hali wao wanapata pesa nyingi kupitia wewe
Inamaana vitendea kazi vinakua na lebal gani?
viongozi wanaopenda rushwa ni wa kampuni gani....? hii hii niliyoiandikia nafasi za kazi ama...?Alafu viongozi wao wanapenda rushwa balaa
sijaogopa...ila ni zaidi ya 350k...ambayo almost kwa anaeanza maisha anakuwa ajakosa pa kuanzia...Maelezo mengi umeogopa kuweka kiwango Cha mshahara!
Code zipi hapo ni form 4 tututakao enda kesho kupeleka maombi tukikutana pale tupeane code jaman
kweli kabisa...pale kwakweli wanazingatia vigezo na masharti sanaCode zipi hapo ni form 4 tu
Huenda uchumi wetu na hao wamarekani ni tofauti na hapa nchini kwetuSema Hawa watu wanadhambi Sana gardaworld ya marekani na Huku nitofauti kabsa Huku kwetu wanawabinya wafanyakazi at the maximum mishahara midogo mno
G4S ndiyo inauzwa
Sema Hawa watu wanadhambi Sana gardaworld ya marekani na Huku nitofauti kabsa Huku kwetu wanawabinya wafanyakazi at the maximum mishahara midogo mno
Hata G4S walishindwanaInamaana hawa waligoma kuchukuliwa na GardaWorld awali?
Nakumbuka hawa jamaa walikomba kampuni nyingi za ulinzi kiwepo Ultimate Security, walishindwana kwenye maslahi na SGA ambae ndio amebaki kuwa mpinzani wao mkuu.