Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Suala ni sie kuweka mkataba mzuri tu unaozingatia maslahi mapana ya nchi!..wakijenga kwa fedha zao upo uwezekano wakadai msamaha mkubwa na wa muda mrefu wa kodi.
Siku zote private sector zinaendesha vitu kwa ufanisi sana. Kwa taarifa yako hata uwanja wa ndege mkubwa wa Uingereza wa Heathrow unaendeshwa na private sector