Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kampuni ya glasgow onternation gt ya dubai imekubali kuanzisha kampuni mpya hapa tanzania itakayoitwa tanzania airways,.itakayokuwa ikifanya safari zake mwanza kigoma mtwara na kwingineko safari za ndani
makubaliano hayo yalifanyiaka nchini hapa chini ya waziri wa miundo mbinu mh omar nundu;na wenyekiiti wa bodi wa kampuni hiyo..mwenyekiti wa kampuni hiyo amesema ameshawishikamno kujakuwekeza hapa nchini tanzania na wameamua kuanzisha shirika jipya litakaloitwa tanzania airways ambalo tumeshaanza mchakato ni muda si mrefu tutakuwa na kibali cha kufanya kazi hapa nchini..
Mwenyektii huyo amesema kampuni hiyo itaanza na safari za ndani na baadae itaanzisha safari za nje ili kuweza kusaidia watanzania kusafiri kwa bei nafuu popote wanapoenda ,waziri nundu amesema kuanzishwa shirika hilo kutakuwa kumefungua ukurasa mpya katika ukuaji wa sekta ya anga,ambapo wamekubaliana hata nauli kupunguza hasa kutokana naushindani uliopo
alisema kwa makubaliano shirika hilo litakuwa na makao yake hapa tanzania pamoja na kufuata sheria zote zinazotakiwa za nchi ikiwemo ulipaji wa kodi serikalini..hizi ni hatua zilizoamuliwa kuchukuliwa na serikali ya awamu yanne kuboresha usafiri wa anga nakuongeza ufanisi na utoaji huduma hiyo..tayari kampuni ya jet link inatarajia kutua muda si mrefu baada ya kuwapa kibali cha ndani wanasubiri ndege zao kufika na kuanza huduma mara moja
labda amkunielewa jamani lengo letu nikuona watanzania wanauwezo wa kusafiri kwenda sehemu yoyote kwa kutumia ndege bila kufikiria sana..nenda southafrika kuna kulula wamejaa ukiangalia na bei ya saa vitu viwili tofauti ingawa mnafika muda mmoja ...ifike wakati wafumbuke tumedhamiria kialisia kuboresha sekta ya anga
makubaliano hayo yalifanyiaka nchini hapa chini ya waziri wa miundo mbinu mh omar nundu;na wenyekiiti wa bodi wa kampuni hiyo..mwenyekiti wa kampuni hiyo amesema ameshawishikamno kujakuwekeza hapa nchini tanzania na wameamua kuanzisha shirika jipya litakaloitwa tanzania airways ambalo tumeshaanza mchakato ni muda si mrefu tutakuwa na kibali cha kufanya kazi hapa nchini..
Mwenyektii huyo amesema kampuni hiyo itaanza na safari za ndani na baadae itaanzisha safari za nje ili kuweza kusaidia watanzania kusafiri kwa bei nafuu popote wanapoenda ,waziri nundu amesema kuanzishwa shirika hilo kutakuwa kumefungua ukurasa mpya katika ukuaji wa sekta ya anga,ambapo wamekubaliana hata nauli kupunguza hasa kutokana naushindani uliopo
alisema kwa makubaliano shirika hilo litakuwa na makao yake hapa tanzania pamoja na kufuata sheria zote zinazotakiwa za nchi ikiwemo ulipaji wa kodi serikalini..hizi ni hatua zilizoamuliwa kuchukuliwa na serikali ya awamu yanne kuboresha usafiri wa anga nakuongeza ufanisi na utoaji huduma hiyo..tayari kampuni ya jet link inatarajia kutua muda si mrefu baada ya kuwapa kibali cha ndani wanasubiri ndege zao kufika na kuanza huduma mara moja
labda amkunielewa jamani lengo letu nikuona watanzania wanauwezo wa kusafiri kwenda sehemu yoyote kwa kutumia ndege bila kufikiria sana..nenda southafrika kuna kulula wamejaa ukiangalia na bei ya saa vitu viwili tofauti ingawa mnafika muda mmoja ...ifike wakati wafumbuke tumedhamiria kialisia kuboresha sekta ya anga