Kampuni ya basi la Shabiby, hii ni hatari sana kwa abiria wenu

Nimekuwa mpenzi wa kutumia usafiri wa basi la Shabiby mimi na familia yangu kwa miaka zaidi ya mitano

Dar, Dodoma, Dodoma Arusha.

Ila leo kwa yaliyo nikuta kupitia dereva huyu, imeniuma sana

Tulikata tiketi siti namba 4 kwa ajili ya mke wangu kusafiri toka Arusha kuelekea Dodoma ni katika basi linalo wasili Arusha saa nne asubuhi ili kuelekea Dodoma.

Katika pilikapilika za safari nikajikuta nimesahau kadi yangu ya benki ambayo nilidhamiria kuitumia kutoa pesa ili kumpa mke wangu pesa ya matumizi njiani na hii ndio ikawa sababu kwa mimi kukutana na maumivu niliyoyapata kwa dereva nisiye mfahamu jina lake ila ndiye dereva wa basi tulilo kata tiketi hii,yaani basi la Shabiby.

Kutokana na kusahau kadi ya benki nililazimika kumuacha ndani ya gari mke wangu ambaye nilikuwa nikimsindikiza kutafuta namna nyingine ya kupata pesa ili nimpe ya kula njiani,

Baada ya kufanikiwa nikarejea ndani ya gari, kwa lengo la kumpa hiyo pesa mke wangu,ndipo dereva huyu wa shabiby baada ya kuona kuwa mkononi mwangu nimeshika speaker ndogo ambayo huwa naitumia kwa ujasiliamali ,yeye akahisi labda naingia kuuza bidhaa fulani

Hata hivyo kwa upole nilimweleza kuwa, mimi siingi kuuza ila lengo langu ni kumpa mke wangu pesa ya matumizi njiani.

Kilicho niumiza, bado aliendelea kuni zuia kibabe

Hakuishia hapo tu alinikunja huku kondakta wake akinivuta mguu kwa nje,mbele za mke wangu,abiria na watu wengine,kiukweli nimedhslilishwa,naamini kosa langu ni kuutumia usafiri wa shabiby kumsafirisha mke wangu,halafu kuamua kumletea pesa ya matumizi mke wangu.

Kweli nimejaribu kumwelezea mtu niliye fahamishwa kuwa ni kiongozi wake hata sijaridhishwa na namna alivyoshughulikia kudhalilishwa kwangu,kiukweli nimeamua,maana mimi huwa hakuna aina ya biashara mbayo huwa naifanya ndani ya mabasi,zaidi ya leo kumsindikiza mke wangu.

Kweli,kama kampuni ya mabasi ya shabiby haita muwajibisha huyu,aliye nikunja hata kunitishia kunipiga,kisa,nimemweleza kuwa nampa mke wangu pesa ya matumizi njiani, basi kwa mimi binafsi na familia yangu nitafikiria kuto penda kuutukimia usafiri huu kwa mara nyingine,maana nimeaibishwa sana.

Nimejaribu kutafuta mawasiliano ya kampuni ya basi la shabiby makao makuu ili kutoa taarifa ya kero hii, ila sijatambua namna ya kuwapata,ndio maana nimeandika hapa ili wahusika wapatapo ujumbe angalau walishughulikie hili kama wana upendo na wateja wao,tafadhali wasilifumbie macho

Muda huu basi hilo bado lipo njiani kuelekea dodoma, mke wangu niliye msafirisha anaitwa Silvero Mwacha ,yupo sit namba 4, tafadhali wahusika popote mlipo nimekereka, naomba msilifumbie macho hili.

Ni mimi Emmamuel.
Hawa wanawake wakichaga hawana huruma yaani anakuangalia unakunjwa ametulia tu kichwani anawaza hiyo pesa yako uliyoishikilia
 


Aisee
Ndani ya basi wanatakiwa kuingia abiria tu waliokata tiketi na wafanyakazi wa basi tu sio mtu mwingine

Waliokukunja na kukuvuta miguu wamekuhurumia walitakiwa wakutandike mangumi na makofi juu

Ungempigia simu mkeo ashuke achukue hivyo vipesa vyako koko chini sio wewe upande basi

Ukome kabisa tabia hiyo ya kupanda ndani ya basi wakati wewe sio abiria
 
Madereva wengi wa mabasi na makondakta wao asilimia kubwa ni wavuta bangi na wengi wao ni wale waliofeli kimasomo,hata wamiliki wengi wa mabasi ni wahuni wahuni hivi, kikubwa cha kumshukuru Mungu kama ndugu yako/ mkeo amesafiri na kufika salama ndio muhimu.

huwezi kusikilizwa malalamiko yako zaidi watakuona mjinga, suala la customer care kwenye usafili hapa nchini ni kwenye ndege tu, uko kwingine ni vurugu, wanafanya kazi kama wamelazimishwa ndio maana ajali nyingi nchi hii ni za uzembe tu, aidha wa dereva au mmiliki wa gari kutofanya matengenezo ya mara kwa mara.

Basi nilizowahi kusafiri nazo nikaona mmiliki na wafanyakazi wako serious na wateja na customer care nzuri ni ABC tu,wengine wanafikili customer care ni kugawa soda na maji na kuweka wasichana warembo ambao ni used wasio na kauli nzuri kwa wateja, mabasi mengi ya waarabu na wachaga kuanzia mmiliki mpaka wahudumu asilimia kubwa ni washenzi tu.
 
Ndani ya basi wanatakiwa kuingia abiria tu waliokata tiketi na wafanyakazi wa basi tu sio mtu mwingine

Waliokukunja na kukuvuta miguu wamekuhurumia walitakiwa wakutandike mangumi na makofi juu

Ungempigia simu mkeo ashuke achukue hivyo vipesa vyako koko chini sio wewe upande basi

Ukome kabisa tabia hiyo ya kupanda ndani ya basi wakati wewe sio abiria
Usiwe na zereu mkuu.
Hakuna vipesa koko duniani.
Vipesa kwako kidogo kwa wengine ni mali.
Ganda la muwa la jana, chungu anaona kipato,
 
Jamaa wamekudunda halafu mbeleni wanachukua namba ya mkeo. Na vile Hana hela wanamnunulia misosi na bia na nyama choma utafurahi.
 
Yaani kwenye basi waruhusiwe kuingia sio wasafiri si itakuwa vurugu, kwanza ulitakiwa kuishia getini labda tu sababu stand zingine hazina uzio na mageti.

Ina maana ingkuwa anakwenda kwa ndege ungemfuata ndani ya ndege umpe pesa!
mleta mada hajielewi anadhani basi ni kama gulio unajiingilia tu na kutoka ukitaka wakati sio abiria

mabasi yanayojari abiria hayaruhusu hata siku moja mtu asiye abiria au mfanyakazi wa basi kuingia ndani ya basi
 
Nimekuwa mpenzi wa kutumia usafiri wa basi la Shabiby mimi na familia yangu kwa miaka zaidi ya mitano

Dar, Dodoma, Dodoma Arusha.

Ila leo kwa yaliyo nikuta kupitia dereva huyu, imeniuma sana

Tulikata tiketi siti namba 4 kwa ajili ya mke wangu kusafiri toka Arusha kuelekea Dodoma ni katika basi linalo wasili Arusha saa nne asubuhi ili kuelekea Dodoma.

Katika pilikapilika za safari nikajikuta nimesahau kadi yangu ya benki ambayo nilidhamiria kuitumia kutoa pesa ili kumpa mke wangu pesa ya matumizi njiani na hii ndio ikawa sababu kwa mimi kukutana na maumivu niliyoyapata kwa dereva nisiye mfahamu jina lake ila ndiye dereva wa basi tulilo kata tiketi hii,yaani basi la Shabiby.

Kutokana na kusahau kadi ya benki nililazimika kumuacha ndani ya gari mke wangu ambaye nilikuwa nikimsindikiza kutafuta namna nyingine ya kupata pesa ili nimpe ya kula njiani,

Baada ya kufanikiwa nikarejea ndani ya gari, kwa lengo la kumpa hiyo pesa mke wangu,ndipo dereva huyu wa shabiby baada ya kuona kuwa mkononi mwangu nimeshika speaker ndogo ambayo huwa naitumia kwa ujasiliamali ,yeye akahisi labda naingia kuuza bidhaa fulani

Hata hivyo kwa upole nilimweleza kuwa, mimi siingi kuuza ila lengo langu ni kumpa mke wangu pesa ya matumizi njiani.

Kilicho niumiza, bado aliendelea kuni zuia kibabe

Hakuishia hapo tu alinikunja huku kondakta wake akinivuta mguu kwa nje,mbele za mke wangu,abiria na watu wengine,kiukweli nimedhslilishwa,naamini kosa langu ni kuutumia usafiri wa shabiby kumsafirisha mke wangu,halafu kuamua kumletea pesa ya matumizi mke wangu.

Kweli nimejaribu kumwelezea mtu niliye fahamishwa kuwa ni kiongozi wake hata sijaridhishwa na namna alivyoshughulikia kudhalilishwa kwangu,kiukweli nimeamua,maana mimi huwa hakuna aina ya biashara mbayo huwa naifanya ndani ya mabasi,zaidi ya leo kumsindikiza mke wangu.

Kweli,kama kampuni ya mabasi ya shabiby haita muwajibisha huyu,aliye nikunja hata kunitishia kunipiga,kisa,nimemweleza kuwa nampa mke wangu pesa ya matumizi njiani, basi kwa mimi binafsi na familia yangu nitafikiria kuto penda kuutukimia usafiri huu kwa mara nyingine,maana nimeaibishwa sana.

Nimejaribu kutafuta mawasiliano ya kampuni ya basi la shabiby makao makuu ili kutoa taarifa ya kero hii, ila sijatambua namna ya kuwapata,ndio maana nimeandika hapa ili wahusika wapatapo ujumbe angalau walishughulikie hili kama wana upendo na wateja wao,tafadhali wasilifumbie macho

Muda huu basi hilo bado lipo njiani kuelekea dodoma, mke wangu niliye msafirisha anaitwa Silvero Mwacha ,yupo sit namba 4, tafadhali wahusika popote mlipo nimekereka, naomba msilifumbie macho hili.

Ni mimi Emmamuel.
Mkuu kwa hiyo ulishindwa hata kumwambia konda niitie huyo Dada aliyekaa kwenye siti namba NNE , ni mke wangu wambie aje nimuage
 
huwezi kusikilizwa malalamiko yako zaidi watakuona mjinga, suala la customer care kwenye usafili hapa nchini ni kwenye ndege tu, uko kwingine ni vurugu, wanafanya kazi kama wamelazimishwa ndio maana ajali nyingi nchi hii ni za uzembe tu, aidha wa dereva au mmiliki wa gari kutofanya matengenezo ya mara kwa mara.
Customer care huijui wewe unashughulika na Customer sio mtu asiye customer

Mleta mada hakuwa customer hakuwa na tiketi hakuwa na mandate wala any legal right ya kuingia ndani ya basi

Kwenye ndege asiye abiria huwa haingii lakini wewe unataka kwenye basi mtu asiye abiria awe anaingia eti ohhh ndio customer care!!!

Kama mtu asitye abiria aruhusiwe kuingia ndani ya basi halafu kwenye ndege asiruhusiwe huoni unajichanganya?

Go revise your customer care notes
 
Yaani hapa kila mtu akivaa viatu vya hakimu basi mleta mada anaonekana kuwa na makosa hata kabla hatujasikia upande wa Shabiby, ki ufupi uenda wahudumu wa kwenye basi walikosa busara,lakini huyu mleta mada atakuwa amekosa busara zaidi. Kwa uzoefu wangu kama we si msafiri naamini si lazima uingie kwenye gari kuhudumiwa, hata ukisimama nje ukamwita dereva au kondakta ukamuelza shida yako ni rahisi kusikilizwa. Pia nahisi mleta mada kuna jambo anaficha
 
Ndani ya basi wanatakiwa kuingia abiria tu waliokata tiketi na wafanyakazi wa basi tu sio mtu mwingine

Waliokukunja na kukuvuta miguu wamekuhurumia walitakiwa wakutandike mangumi na makofi juu

Ungempigia simu mkeo ashuke achukue hivyo vipesa vyako koko chini sio wewe upande basi

Ukome kabisa tabia hiyo ya kupanda ndani ya basi wakati wewe sio abiria
Mke wa dereva punguza povu.
 
Jamaa wamekudunda halafu mbeleni wanachukua namba ya mkeo. Na vile Hana hela wanamnunulia misosi na bia na nyama choma utafurahi.
Ndio maana mama alitulia tuli wakati mumewe anadundwa yawezekana alishapata wa kumtuliza siti ya karibu akamwambia utakula utakunywa usiwe na hofu

Safari sio kitu cha ghafla inakuwaje aanze kutaka kumpa pesa last minute

mwanamke atakuwa alizira akaona ujinga kwa nini hukunipa mapema kwa hiyo hata wakati anadundwa mwanamke aweza kuwa alikuwa akiwapongeza kimoyo moyo wadundaji kuwa loo kidume gani huyu hadi mtu unaondoka hajakupa hela njiani anasubiri unaingia hadi kwwenye BASI ndio anaanza kujifanya anaenda kuzitafuta wacha adundwe
 
Back
Top Bottom