Kampuni ya AQUA iliyoleta ukakasi ishu ya Dangote ni ya nani?

Mwambie raisi wako aache kudharilisha nchi kama alijuwa kuna kampuni hiyo kwa nini alikuwa anataka mpaka Forbes waandike baada ya Dangote kulalamika its bad move for our country huwezi kuongoza nchi kwa utapelitapeli hivi ukiwa raisi hufunzwi namna ya kukabiliana na matatizo I am tired and sick
mbona chadema mnakasirika, au mzee wa mvi anahusika, kuna harufu harufu
 
Mkuu,
Kwa hili wala hautaji kuwa na akili kubwa kujua kwamba kulikuwa na mazingira ya rushwa. TPDC wanakuomba ununue gesi kutoka kwao halafu unaitaji dalali wa nini ambaye anakwenda kununua uko uko TPDC?!
Ni lini TPDC walimwomba?
 
You seem to know how presidents should behave. Try to be one and let's see your style. Rais wetu hana cha kuficha and is very transparent ndiyo maana anatoa ufafanuzi hadharani ili kuondoa majungu. He does not tolerate bureaucracy and red tape.

Gwarugwe
 
awa jamaa kama ndio wenyewe umeme wao sio wa uhakika,

tunasikia uko lindi na wilaya umeme ni full kukatika tu.
tena bila sababu za msingi


zake

Haya kuhusu producer wa umeme lindi na mtwara kwa sasa.......
The plant was first created by Wentworth Resources Limited in 2007 when Wentworth began building the Mnazi Bay gas fields. The company built a small 18 megawatts (24,000 hp) power plant to support their operations, with the surplus sold to the local community.[6] Initially, the company posted a loss; however, by the end of 2011, they had managed to obtain their first profitable year. The company nevertheless decided to change its strategy within Tanzania and continue to focus their investment in gas exploration and drilling.[1]

Wentworth Power Limited, the Wentworth subsidiary managing the operations, DECIDED TO SELL all of its shares to the Tanzania Electric Supply Company (TANESCO )for $13.5 million effective 7 February 2012. The gas supplied to the power plant.(Source Wikipedia)
Tanesco ndo wahusika kwa sasa na siyo Aqua..tatizo la umeme kukatika katika pale plant unapozalishwa ndiyo lipo na ni kweli unakatika mara kwa mara hadi kero
 
Mkuu,
Kwa hili wala hautaji kuwa na akili kubwa kujua kwamba kulikuwa na mazingira ya rushwa. TPDC wanakuomba ununue gesi kutoka kwao halafu unaitaji dalali wa nini ambaye anakwenda kununua uko uko TPDC?!
hivi unajua mizungusho ya maofisini wewe?,
utaambiwa njoo kesho meneja kafiwa na shemeji yake,
ukija kesho utaambiwa rudi jumatatu mtandao sio mzuri,
ukija jumatatu utaambiwa leo jumatatu ya majivu jaribu wiki ijayo etc,

kwanini nisitumie middle man wakati naendelea na mambo mengine maana huo mda wa kuzunguka maofisini sina,Time is money
 
Hivi Watanzania tuna matatizo gani? Kwani Rais kasema udalali mbaya? Tatizo ni udalali wa kihuni kama huo uliokuwa unafanywa kwa Dangote. Huo sio udalali bali uhujumu uchumi. Watu mlikuwa mnalia JPM amalizane na Dangote hekima itumike then badala ya kuandika hata sentensi moja ya kupongeza then ujenge hoja ya kushauri serikali ili hali kama hii isiwajirudie kwa wawekezaji mnakuja na masimango mengine! Hizi chuki zitatupeleka wapi?
 
hivi unajua mizungusho ya maofisini wewe?,
utaambiwa njoo kesho meneja kafiwa na shemeji yake,
ukija kesho utaambiwa rudi jumatatu mtandao sio mzuri,
ukija jumatatu utaambiwa leo jumatatu ya majivu jaribu wiki ijayo etc,

kwanini nisitumie middle man wakati naendelea na mambo mengine maana huo mda wa kuzunguka maofisini sina,Time is money
Ninachoona kwenye haya malumbano ya hoja ni mambo yafuatayo
1. Kuna siasa ndani ya professional za watu, kwa waliosoma biashara na marketing wanaweka hoja za msingi ila wanasiasa wanaongea hisia zao.
2.Kuna issue ya chuki, na kushabikia mambo kiholela, kwa mfano badala ya kutoa hoja mtu anaanza kusema je kama mmiliki wa kampuni ni upinzani angeshatumbuliwa, sasa kwa mpinzani wa chama siyo raia wa tz? Je hatoi ajira kwa wananchi? Huu si ulimbukeni!?
3.Kuna swala la kushabikia kila kitu Rais anachokisema, nadhani ni vema tukakubaliana kwamba kuna mengi mazuri anayafanya na pia kuna mengi anakosea pia kwani yeye ni binadamu siyo Mungu mtu, kwa mfano mdogo tuu kuingiza kwa dangote malori mia sita ina maana wale wenye malori yao tayari hali itakuwa tete sasa hata mikopo sijui watalipaje. Kila anaempinga bwana President kwa hoja anaonekana ni mpinzani kisiasa na hafai. Sijui nani katuloga watanzania jamani.
4. Watu wanatoka nje ya mada husika na kuongea yasiokuwa na uhusiano wa mada. Sielewi ni kwa kutoelewa au shule pia inahusika au lah! Kwa mfano mtu anasema mzee wa manvi anahusika au, mara ingekuwa ccm tungelindana sasa hizi ni kukosa cha kuandika au ili mradi kuonekana umechangia?
5. Mwisho kabisa, tupunguze Jazba, tuwe waelewa, tusidhalilishane au kutukanana au kutakiana vifo kisa tuu mada na wenye pesa zao na umaskini wao na wanaendelea kupambana kufanya maisha yaende vema. Hakuna atakaekuletea pesa mezani kamwe, ni wewe binafsi kufanya kazi kwa bidii, japo pia vikwazo ni vingi
 
ONE THOUSAND Kilowatts is equal to ONE megawatt . Aqua itazalisha 30000 kWh kila saa. Surely hela ndefu kweli!
 
Hivi Watanzania tusiruhusu Magufuli achezee akili zetu kama majuha - hivi inaingia akilini kuwa Dangote anaweza kusumbuliwa na kampuni binafsi kiasi cha kuamua kufunga kiwanda chake na kufunga safari kuja kuonana na Rais wa nchi na watendaji wakuu wa serikali kwa sababu kuna kampuni binafsi inamfanyia udalali....MAGUFULI NDO MCHAWI WA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI, aache kutaka kutudanganya kuwa kuna wapiga dili, si anajidai kila siku amewadhibiti, kwanini bado wanajitokeza???
 
hivi letsa say kwa mfano mkikukuta ni ya kiongozi mmoja wa chama cha upinzani mtasemaje

kwa mfano labda

mkuu nani anatetea mtu wa chama hapa? Kuna wengine wanasema deal hazina chama, tumewaambia Mbowe ana deni la N.H.C kaanikwa wazi na kila mtu anajua, Sumaye kaporwa shamba na kila mtu anajua, iweje hawa wengine hawatajwi kwa majina na kuporwa hizo deal bali wanaitwa wanasiasa? Magufuli ni mtendaji mzuri ila anaongozwa na itikadi ile mbaya, akiona deal ni la mwanaccm anasema aombewe kwani anapambana na watu hatari, lakini ikiwa ni mpinzani anachukua hatua haraka tena kwa kumdhalilisha.
 
Acha uongo ww...umeme wa lindi na mtwara unazalishwa na Tanesco Mtwara kupitia gas power plant yake iliyopo mtwara though haujaingizwa kwenye grid ya Taifa..nimefanya field yangu power pale mtwara 2014 so najua vizuri na mradi ulikuwa chini ya Warsila ile 2007 b4 kukabidhiwa kwa tanesco..ni megawat 18 kwa generator ambazo zinatakiwa ziproduce but only around 12MW are produced..hii ni kutokana miundombinu si rafiki kwa ajili ya hizo..pia co generator zote 9 zinapiga mzigo..na gesi inayotumika inauzwa na MP company

Kwanini gas iuzwe na M&P kwa tanesco na sio TPDC? Wartsila aliingiaje pale mkuu, ninavyofahamu pale kuna CAT gas Engines.. Wartsila hakuwahi kuwepo mtwara na lindi au ulikuwa unamaanisha ARTUMAS energy..

Kama tanesco wanaweza kurun Ile power plant na kuzalisha 12MW kwa ajili ya mtwara na lindi wameshindwaje tena kuongeza gas engines nyingine na kuzalisha 30MW na kumpa Dangote na itakayosalia kuiingiza kwenye grid au kuipeleka Songea?
 
Mwambie raisi wako aache kudharilisha nchi kama alijuwa kuna kampuni hiyo kwa nini alikuwa anataka mpaka Forbes waandike baada ya Dangote kulalamika its bad move for our country huwezi kuongoza nchi kwa utapelitapeli hivi ukiwa raisi hufunzwi namna ya kukabiliana na matatizo I am tired and sick
Umejitutumua lakini hakuna lolote uliloandika, just relax bhana
 
Kwanini gas iuzwe na M&P kwa tanesco na sio TPDC? Wartsila aliingiaje pale mkuu, ninavyofahamu pale kuna CAT gas Engines.. Wartsila hakuwahi kuwepo mtwara na lindi au ulikuwa unamaanisha ARTUMAS energy..

Kama tanesco wanaweza kurun Ile power plant na kuzalisha 12MW kwa ajili ya mtwara na lindi wameshindwaje tena kuongeza gas engines nyingine na kuzalisha 30MW na kumpa Dangote na itakayosalia kuiingiza kwenye grid au kuipeleka Songea?

Nimerepost kuhusu kurekebisha post yangu..Kuna mtu alinirekebisha kuwa mwanzo walikuwa ni Wentworth na si wartsila..ni kweli coz nimecheki na nimeafiki...

Mantrac Group is the authorized Caterpillar dealer, distributing and supporting Caterpillar construction machines so ni haohao CAT...na kuhusu kuongeza gas engines labda wajenge plant nyingine..hiyo plant iliyopo hapo installed generators ni ndogo ambazo zipo 9,ni za direct gas injection na siyo turbine kama za ubungo,zina cylinder heads 20 each na zina uwezo wa kuproduce max of 18 MW zote.But kutokana na sababu mbalimbali mojawapo ni miundombinu mibovu na pia generator zingine ni mbovu,wanaproduce only eleven point something MW,ambazo ni approx 12MW na gas inayotumika ni from Mnazi bay ambayo ni M&P ndio wanasupply apo..pia plant ipo jirani na M&P hapo na ndio wahusika..kuhusu TPDC sijui ni kwanini hawawauzii gas but for what I know kwa sasa TPDC ndio wamepata umiliki wa baadhi ya visima vya gas..mwanzoni hawakuwa na umiliki huo...
 
Nimerepost kuhusu kurekebisha post yangu..Kuna mtu alinirekebisha kuwa mwanzo walikuwa ni Wentworth na si wartsila..ni kweli coz nimecheki na nimeafiki...Mantrac Group

Mantrac Group is the authorized Caterpillar dealer, distributing and supporting Caterpillar construction machines so ni haohao CAT...na kuhusu kuongeza gas engines labda wajenge plant nyingine..hiyo plant iliyopo hapo installed generators ni ndogo ambazo zipo 9,ni za direct gas injection na siyo turbine kama za ubungo,zina cylinder heads 20 each na zina uwezo wa kuproduce max of 18 MW zote.But kutokana na sababu mbalimbali mojawapo ni miundombinu mibovu na pia generator zingine ni mbovu,wanaproduce only eleven point something MW,ambazo ni approx 12MW na gas inayotumika ni from Mnazi bay ambayo ni M&P ndio wanasupply apo..pia plant ipo jirani na M&P hapo na ndio wahusika..kuhusu TPDC sijui ni kwanini hawawauzii gas but for what I know kwa sasa TPDC ndio wamepata umiliki wa baadhi ya visima vya gas..mwanzoni hawakuwa na umiliki huo...

Engine zinazorun Ile plant ni Cat, 3520 au unaweza sema cat engines 3500 series ambapo installed capacity pale ni 18MW kama zote zitarun, Mantrac they are no longer permanently pale, mwanzoni waliitwa in case of breakdown na major overhaul ila kwa sasa every thing is under tanesco..

Cat 3600series ni kubwa kuliko 3500series ambapo zikifungwa 3600series haziwezi kuwa pieces nyingi kwa 20 - 30 MW. Au ukipata Wartsila engines kubwa 2-3 huwezi kukosa 20-30MW, bado tuna option ya kufunga gas turbine moja la 20-30 MW, haya yanawezekana kama tuna akili ya biashara na tuna jali professionals na ushauli wao.

TPDC na TANESCO zikiendeshwa kibiashara tunaweza kufika mbali sana kiuchumi, Pia wizara yetu ya nishati ikisimama kibiashara, kitechnolojia na usasa zaidi hatua kubwa tunaweza kupiga..

Siasa za CCM ndio chanzo cha ujinga mwingi..
 
Back
Top Bottom