Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kampuni ya Apple imekuwa ni kampuni ya kwanza duniani kuwa na thamani ya Dola Trilioni 1 sawa na KWADRILIONI 2 za Kitanzania, Bajeti ya Tanzania 2018/19 ni Trilioni 32.476 hii ina maana kwamba Apple inaweza ikaifadhili Bajeti ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 69.#MillardAyoUPDATES