Alpha Homes ni kampuni inayohusika na ukarabati wa nyumba yenye ofisi zake mtaa wa Ohio (Posta) jijini Dar es Salaam. Ili kufanikisha malengo yetu tunahitaji wafanyakazi wawili ambao ni Accountant na Civil Technician.
Sifa za waombaji;
1) Muombaji awe na elimu ya ngazi ya Diploma kwenye fani husika hapo juu.
2) Uzoefu wa kazi angalau mwaka mmoja na kushuka.
3) Kwenye nafasi ya Uhasibu ni mwanamke anahitajika.
4) Civil Technician nafasi ni kwa ajili ya mwanaume.
MAWASILIANO
1. Namba : +255222196813
2. Barua Pepe : info@alphateqsolutionsltd.com
Sifa za waombaji;
1) Muombaji awe na elimu ya ngazi ya Diploma kwenye fani husika hapo juu.
2) Uzoefu wa kazi angalau mwaka mmoja na kushuka.
3) Kwenye nafasi ya Uhasibu ni mwanamke anahitajika.
4) Civil Technician nafasi ni kwa ajili ya mwanaume.
MAWASILIANO
1. Namba : +255222196813
2. Barua Pepe : info@alphateqsolutionsltd.com