Kampuni sita zasaini mkataba wa awali kununua korosho nchini Tanzania

Hili tusi nilikuwa silielewi ila awamu hii imenipa jibu, unaroho ya korosho wewe
 
Hizi habari hazitakiwi umepoteza uzalendo... NANI AMEKUAMBIA? AU UNASHIRIKIANA NA MABEBERU?
Mabeberu wametuachia korosho kwa kupeleka hatukujui .tutagawane basi mazee. Wakulima wanadai, wasafirishji wanadai, wasambazaji gunia,computer,kamba nk wote wanadai.AMCOS ,VYA VIKUU NA HALMASHAURI ziko hoi
 
Mabeberu wametuachia korosho kwa kupeleka hatukujui .tutagawane basi mazee. Wakulima wanadai, wasafirishji wanadai, wasambazaji gunia,computer,kamba nk wote wanadai.AMCOS ,VYA VIKUU NA HALMASHAURI ziko hoi
Hatari sana... tuliambiwa tutagawana tuzile wenyewe... hao wanaodai wote inawezekana ni wapinga maendeleo na hizo halmashauri ambazo ziko hoi WAKALIME... HAPO KWELI NAAMINI MAENDELEO HAYANA CHAMA" utani mwingine yani :D :D halafu tumekatazwa kuongelea koroshow...
 

Serikali imesaini mkataba wa awali na kampuni sita ya kununua korosho kati ya zilizoomba kununua korosho hizo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Mei 16, 2019 Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda amesema baada ya Kampuni ya Indo Power ya nchini Kenya kushindwa kununua korosho wameendelea kusaini mikataba ya awali.

“Tumeendelea kusaini mikataba mingine na makampuni mengine, mikataba ambayo tumeisaini ni ya awali.

“Mpaka sasa tumesaini na makampuni sita nisingependa kuyataja kwa majina kwa sababu tunajua hali halisi ya makampuni ya korosho watu wanafuatiliana, wanaharibiana biashara pamoja na majina.



“Lakini kuna kampuni moja tuliikaribisha wiki iliyopita imekuja kukagua maghala ya korosho wamejiridhisha kwamba korosho yetu ni safi na haijaharibika na tumepeleka kwenda kuhakiki TBS na wameenda kufanya uhakiki katika nchi yao na wamejihakikishia kwamba ni nzuri na wanajiandaa kulipa.

“Hawa mabwana wakilipa tunawakabidhi korosho mara moja,”alisema Waziri Kakunda.
Akitoa ripoti ya maagizo aliyoagizwa na Rais Dk. John Magufuli wakati akiapishwa, Novemba 12 mwaka jana ya kusimamia ununuzi wa korosho, Kakunda alisema tangu Novemba 13 mwaka jana hadi Mei 15 mwaka huu zimeweza kukusanywa tani 225,000.

“Kati ya hizo tani 2,200 zinaendelea kubanguliwa na viwanda vya ndani kwa mikataba maalum. Maana yake zinabaki tani 228,000 katika maghala."Alisema
 

Serikali imesaini mkataba wa awali na kampuni sita ya kununua korosho kati ya zilizoomba kununua korosho hizo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Mei 16, 2019 Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda amesema baada ya Kampuni ya Indo Power ya nchini Kenya kushindwa kununua korosho wameendelea kusaini mikataba ya awali.

“Tumeendelea kusaini mikataba mingine na makampuni mengine, mikataba ambayo tumeisaini ni ya awali.

“Mpaka sasa tumesaini na makampuni sita nisingependa kuyataja kwa majina kwa sababu tunajua hali halisi ya makampuni ya korosho watu wanafuatiliana, wanaharibiana biashara pamoja na majina.



“Lakini kuna kampuni moja tuliikaribisha wiki iliyopita imekuja kukagua maghala ya korosho wamejiridhisha kwamba korosho yetu ni safi na haijaharibika na tumepeleka kwenda kuhakiki TBS na wameenda kufanya uhakiki katika nchi yao na wamejihakikishia kwamba ni nzuri na wanajiandaa kulipa.

“Hawa mabwana wakilipa tunawakabidhi korosho mara moja,”alisema Waziri Kakunda.
Akitoa ripoti ya maagizo aliyoagizwa na Rais Dk. John Magufuli wakati akiapishwa, Novemba 12 mwaka jana ya kusimamia ununuzi wa korosho, Kakunda alisema tangu Novemba 13 mwaka jana hadi Mei 15 mwaka huu zimeweza kukusanywa tani 225,000.

“Kati ya hizo tani 2,200 zinaendelea kubanguliwa na viwanda vya ndani kwa mikataba maalum. Maana yake zinabaki tani 228,000 katika maghala."Alisema
Hizi korosho bado tu hadi leo?? Mwez wa 6 huu kasoro bado tani 228, 000. Jiwe a.k.a stone a.k.a mzee meko a.k.a kifimbo cheza bado yuko ofisini?
 
Sasa kile kiburi chote cha Jiwe cha kujidai kuwa serikali yake ina ubavu wa kununua korosho hiyo kilitokana na nini??

Hivi mateso yote wanayopata wakulima wa korosho wa kusini, kimetokana na kiburi cha huyo mtu mmoja!

Bado watatokea watetezi wake watakaosema alichofanya Jiwe kilikuwa 100% perfect!
 
Waziri mkuu alisema amepata makampuni yatayo nunua korosho ,jiwe likasikika likinena tutanunua kwa pesa zetu

Leo wamerudi mule mule
 
Bora wafanye kimya kimya coz baadae watakuja kuumbuka tena.. hii awamu hadi vitu ambavyo havina maana vinawekwa public, watu wanataka kuona kuona korosho zimeshauzwa wakulima wamepewa hela zao na sio porojo.

btw hakuna kubwa serikali inafanya ndio maana hadi video za ngono inakuwa ni agenda ya nchi
 
Waziri mkuu alisema amepata makampuni yatayo nunua korosho ,jiwe likasikika likinena tutanunua kwa pesa zetu

Leo wamerudi mule mule
Waziri mkuu akilikuwa na ultimate solition. Angeachwa huenda kuwa korosho zingesha uzwa.
Cheap popularity imeponza rais.. sasa itabid ale matapish yake.
 
Hii habari ipo tangu juzi.. ila kuna watu nimekuwa nikiwacheka wakiandika majanga humu JF.. mlie tu sasa.. kuona ni habari ya tangh juzi.. vidaku

Hongera kwa Serikali yetu
 
Back
Top Bottom