Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 954
Na ITV Habari
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji- EWURA, inaandaa utaratibu mpya wa uagizaji wa bidhaa za mafuta ya petroli kutoka nje ambapo zitakuwa zikiingizwa na kampuni moja tu itakayoshinda zabuni ikiwa ni hatua ya kudhibiti bei na ubora wa mafuta hayo.
Akizungumza katika mahojiano maalum na ITV bw. Masebu amebainisha kuwa chini ya utaratibu mpya, kampuni itakayoshinda zabuni itaagiza mafuta yanayotosheleza mahitaji ya nchi kwa muda usiopungua miezi mitatu.
source IPP Media
Jee tunaweza kuafford msambazaji mmoja wa mafuta? Kama hakuna ushindani nini kitamfanya msambazaji auze bei ya kawaida?
Mtanzania wa kawaida ndio anaumiwa mwisho wa siku kutokana na maamuzi ya kipuuzi kama haya.
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji- EWURA, inaandaa utaratibu mpya wa uagizaji wa bidhaa za mafuta ya petroli kutoka nje ambapo zitakuwa zikiingizwa na kampuni moja tu itakayoshinda zabuni ikiwa ni hatua ya kudhibiti bei na ubora wa mafuta hayo.
Akizungumza katika mahojiano maalum na ITV bw. Masebu amebainisha kuwa chini ya utaratibu mpya, kampuni itakayoshinda zabuni itaagiza mafuta yanayotosheleza mahitaji ya nchi kwa muda usiopungua miezi mitatu.
source IPP Media
Jee tunaweza kuafford msambazaji mmoja wa mafuta? Kama hakuna ushindani nini kitamfanya msambazaji auze bei ya kawaida?
Mtanzania wa kawaida ndio anaumiwa mwisho wa siku kutokana na maamuzi ya kipuuzi kama haya.