Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,070
Imeshinda au imepewa..! Maana china ni marafiki zetu wazuri
wameandika imeshinda! nadhano wamepewa si alisema hawana masharti!Imeshinda au imepewa..! Maana china ni marafiki zetu wazuri
Tatizo ni Ghrama. Kampuni ya kibongo iliyotender bei ya chini kabisa ni 190M USD. Sasa utawapaje kazi?
Kiutaalam kituo kinatakiwa kuwa kila baada ya mita 500 sasa ukichukua hapo Barabara ina 20Klm vituo 29 ni vichache.Vituo vimekuwa vingi sana wafanye 14 tu
ni ujinga, mitaji ipo, wataalamu wapo tatizo wenye kampuni hawana akili. Wenye kampuni za ujenzi wengi hawajui kuhusu ujenzi tz. Wanatafuta tenda ndogo ndogo za halmashauri wapige hela. Zikitokea tenda kubwa kama hizi za hata kujitangaza wanaingia mitini. Wanasubiri kuajiriwa na wachina wafanye vikazi vidogo vidogo. Mradi kama huu hauna cha kupoteza kwahiyo wakiwekeza na mikopo itawalipa tu lakini hawataki.VP kampuni za wazawa? Je, hawawezi kufanya hii project? Je, tatizo ni ujuzi mdogo, elimu duni, uzoefu mdogo ama mitaji midogo ya wakandarasi wetu?
Kama tatizo ni ujuzi na uzoefu Mdogo, je kama nchi tuliwawezesha vipi kupata ujuzi kwenye phase 1 ya huu mradi?
Kama tatizo ni elimu mbovu, je kuna hatua gani zinachukuliwa na wahusika kurekebisha hilo?
Na kama tatizo ni mitaji midogo ya wakandarasi, je taasisi zetu za kifedha nchini zina msaada wowote? Na je, mfumo mzima wa upatikanaji mitaji kwa kampuni za wazawa kwa projects kama hizi upo vipi?
Je tunaelewa madhara ya kiuchumi kwa kuwa tegemezi kitaaluma?
Haya ni maswali ambayo kila mzalendo wa kweli anatakiwa kujiuliza.
ni ujinga, mitaji ipo, wataalamu wapo tatizo wenye kampuni hawana akili. Wenye kampuni za ujenzi wengi hawajui kuhusu ujenzi tz. Wanatafuta tenda ndogo ndogo za halmashauri wapige hela. Zikitokea tenda kubwa kama hizi za hata kujitangaza wanaingia mitini. Wanasubiri kuajiriwa na wachina wafanye vikazi vidogo vidogo. Mradi kama huu hauna cha kupoteza kwahiyo wakiwekeza na mikopo itawalipa tu lakini hawataki.
mkuu kampuni za wazawa haziwezi....kwanza lazima kazi iwe mbovu kabisa....maana wanachowaza baada ya kushinda tenda ni nani wa kumpa rushwa kuliko kufocus kwenye ubora wa kazi.......VP kampuni za wazawa? Je, hawawezi kufanya hii project? Je, tatizo ni ujuzi mdogo, elimu duni, uzoefu mdogo ama mitaji midogo ya wakandarasi wetu?
Kama tatizo ni ujuzi na uzoefu Mdogo, je kama nchi tuliwawezesha vipi kupata ujuzi kwenye phase 1 ya huu mradi?
Kama tatizo ni elimu mbovu, je kuna hatua gani zinachukuliwa na wahusika kurekebisha hilo?
Na kama tatizo ni mitaji midogo ya wakandarasi, je taasisi zetu za kifedha nchini zina msaada wowote? Na je, mfumo mzima wa upatikanaji mitaji kwa kampuni za wazawa kwa projects kama hizi upo vipi?
Je tunaelewa madhara ya kiuchumi kwa kuwa tegemezi kitaaluma?
Haya ni maswali ambayo kila mzalendo wa kweli anatakiwa kujiuliza.
Gari chache kivipi umesoma wapi idadi ya gariGari ni chache mnoo hii ya Ubungo-Kimara na population ya Mbagala sijui hali itakuaje.
mtu mwenye hela haihitaji elimu ili afanikiwe, anahitaji watu wenye elimu wamfanyie kazi. Ujinga utatutoka baadae, tuwe na subra tu.Je, kama tatizo ni ujinga wa wakandarasi, je kwa nini wasipatiwe elimu kuondoa huo ujinga kwa manufaa ya taifa zima.?
VP kampuni za wazawa? Je, hawawezi kufanya hii project? Je, tatizo ni ujuzi mdogo, elimu duni, uzoefu mdogo ama mitaji midogo ya wakandarasi wetu?
Kama tatizo ni ujuzi na uzoefu Mdogo, je kama nchi tuliwawezesha vipi kupata ujuzi kwenye phase 1 ya huu mradi?
Kama tatizo ni elimu mbovu, je kuna hatua gani zinachukuliwa na wahusika kurekebisha hilo?
Na kama tatizo ni mitaji midogo ya wakandarasi, je taasisi zetu za kifedha nchini zina msaada wowote? Na je, mfumo mzima wa upatikanaji mitaji kwa kampuni za wazawa kwa projects kama hizi upo vipi?
Je tunaelewa madhara ya kiuchumi kwa kuwa tegemezi kitaaluma?
Haya ni maswali ambayo kila mzalendo wa kweli anatakiwa kujiuliza.
Sidhani vituo vilivyopo sasa kituo hadi kituo cha daladala kwenda mbagala hakizidi mita 200 Na havizidi 14.Kuwa kutakuwa Na Vituo 29 hadi mbagala sielewi kweli.Nadhani kuna kosa la kiuandishi.Haiwezekani vikawa vituo 29Kiutaalam kituo kinatakiwa kuwa kila baada ya mita 500 sasa ukichukua hapo Barabara ina 20Klm vituo 29 ni vichache.
Negotiate with them.Tatizo ni Ghrama. Kampuni ya kibongo iliyotender bei ya chini kabisa ni 190M USD. Sasa utawapaje kazi?
Vema, umekuwa very professional, tuwekee authority ya hiyo 500mtrsKiutaalam kituo kinatakiwa kuwa kila baada ya mita 500 sasa ukichukua hapo Barabara ina 20Klm vituo 29 ni vichache.
huyu mtaalamu amesema for every 500 mtrs you have a bus stand...... now for 23 km which is equivalent to 1000mtrs/500 x 23= 46. Unaona kuwa vimepungua kutoka 46 to 29! Naomba maoni yakoSidhani vituo vilivyopo sasa kituo hadi kituo cha daladala kwenda mbagala hakizidi mita 200 Na havizidi 14.Kuwa kutokuwa Na Vituo 29 hadi mbagala sielewi kweli.Nadhani kuna kosa la kiuandishi.Haiwezekani vikawa vituo 29
Utaalamu gani koko huo ina maana hata kama eneo ni pori hamna watu unaweka kituo kisa Ku meet rule ya kuwa Kila mita 500 kituo cha basi?huyu mtaalamu amesema for every 500 mtrs you have a bus stand...... now for 23 km which is equivalent to 1000mtrs/500 x 23= 46. Unaona kuwa vimepungua kutoka 46 to 29! Naomba maoni yako
Unaanza matusi sasa! This is a sign of failure to argue your case unaanza character assassination!Utaalamu gani koko huo ina maana hata kama eneo ni pori hamna watu unaweka kituo kisa Ku meet rule ya kuwa Kila mita 500 kituo cha basi?
Wachina wanajenga kwa pesa uliyonayo.Ndio maana ni marafiki wa fisiemu.Kazi za wachina ni fake in most cases. Bei zao poa lakini......